Mnalipa..tena kwa kiasi kikubwa coz fungu lenu ni kubwa ukicompare na kima cha chini na sekta zingne!! Ila mmekosa huruma kwa wananchi ambao ndo wanaowawezesha iyo mishahara..na mnademand more kwa kuwaumiza hao hao walalahoi!!
nimekusoma mkuu, ila km time yazidi songa iv.. afu nshawahi pita sehem nkaskia watu wanaongea kua.. ukubwa ni maamuz, si umri!! kwamba mtu unaamua kukua, coz process ya kuongezeka umri ni very slow wala hujui kua unakua ivo unaweza jisahau kwenye utoto
shukrani, nimejaribu yote hayo dada angu, ila iyo seies haikamiliki.. udate.. mtakua wapenz.. hapo sasa ndo kuna madudu, wadada mambo mengi!! wengine hata hawaangalii walichonacho, wapo busy kuangalia ambavyo hawana!!
wala sina tabia mbaya tutor, ila tu madada wa siku ndio hawashikiki.. wana mambo mengi balaa, wanamahitaji makubwa si kidgo, na hivi era ya facebook basi akisifiwa kidgo picha zake kashakubali appointment, kuja kugundua kitambo watu washakuibia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.