Search results

  1. K

    Baraza la mitihani wawajibishwe

    Embu mpost matokeo ya zaman,na hayo mapya kumaliza ubishi!
  2. K

    Ni password au anatafuta sababu?

    Easy..sign up email mpya,hamisha mawasiliano yako!!den mpatie ya anayoijua yeye!!
  3. K

    Binti akatwa titi (ziwa) lake akiwa amelala bila kujijua!!!!

    Miaka kumi na mbili ana titi la kukatwa?duh
  4. K

    Walipa kodi mko wapi?charaza bakora wote,wanasiasa na madaktari!!

    Majeshi yanasubir raia waandamane ndo yajitokeze kuwakandamiza..mwananchi wa kawaida hana mkomboz nchi hii
  5. K

    Walipa kodi mko wapi?charaza bakora wote,wanasiasa na madaktari!!

    Mnalipa..tena kwa kiasi kikubwa coz fungu lenu ni kubwa ukicompare na kima cha chini na sekta zingne!! Ila mmekosa huruma kwa wananchi ambao ndo wanaowawezesha iyo mishahara..na mnademand more kwa kuwaumiza hao hao walalahoi!!
  6. K

    Mr. President, your response to doctors' strike is tepid!

    Wanasiasa wanaahidi kila kitu..ni muda wa kuachana na 'matamko' na kuchukua ufanisi..why tuumie kwa kusubir promise ya raisi?
  7. K

    Walipa kodi mko wapi?charaza bakora wote,wanasiasa na madaktari!!

    Hawa watu wanaweka matumbo mbele afu wanamsahau mlipa kodi ambae ndo anawawezesha..wote wasaliti,dawa yao ni bakora mtindo mmoja!
  8. K

    Facebook moja wapo ya visababishi vya mahusiano mengi ya kimapenzi kuvunjika

    Facebook bana..unajichukulia tu,km ulivozipanga..unatumia muda mwingi..unamsifia sana..unamalizia na kuflirt,ushabeba chombo!!so sio kuvunja tu,pia kuanzisha mapya!!
  9. K

    Hivi mkoje nyie wanaume

    nyie mbna mnachagua wenye hela si hatusemi!!!??
  10. K

    Kaniahidi upendo anafunga ndoa leo

    hahahahahah..atangoja sana
  11. K

    Mliooa mlipata wapi wake zenu?

    nimekusoma mkuu
  12. K

    Mliooa mlipata wapi wake zenu?

    mmmmmhh!! kweli msaada wa Mungu unahitajika
  13. K

    Mliooa mlipata wapi wake zenu?

    nimekusoma mkuu, ila km time yazidi songa iv.. afu nshawahi pita sehem nkaskia watu wanaongea kua.. ukubwa ni maamuz, si umri!! kwamba mtu unaamua kukua, coz process ya kuongezeka umri ni very slow wala hujui kua unakua ivo unaweza jisahau kwenye utoto
  14. K

    Mliooa mlipata wapi wake zenu?

    shukrani, nimejaribu yote hayo dada angu, ila iyo seies haikamiliki.. udate.. mtakua wapenz.. hapo sasa ndo kuna madudu, wadada mambo mengi!! wengine hata hawaangalii walichonacho, wapo busy kuangalia ambavyo hawana!!
  15. K

    Mliooa mlipata wapi wake zenu?

    wanawake kama gender ni aina moja, ila wanawake kwa maana ya mwanamke wapo kibao, mpka wasagaji wapo!!
  16. K

    Mliooa mlipata wapi wake zenu?

    wala sina tabia mbaya tutor, ila tu madada wa siku ndio hawashikiki.. wana mambo mengi balaa, wanamahitaji makubwa si kidgo, na hivi era ya facebook basi akisifiwa kidgo picha zake kashakubali appointment, kuja kugundua kitambo watu washakuibia
Back
Top Bottom