Naomba upate ushauri wa kitaalam juu ya islamic laws kwa mwanafunzi wa LLB wa mwaka wa pili UDSM na hisi ukimtafuta Profesa atakuchanganya maana uelewa wako bado upo chini sana... matumbo
Ni akheri ya kasa kuliko kobe. Kumbe hadi wabunge nao wanaudini sijaona dhambi ya kurudishwa mahakama ya kadhi nchi. Sijajua kenya waliwezaje au zanzibar ikoje na hapa tz itakuwaje mpk TEC kufanya waumin wao kuonyesha misimamo yao ktk kujadili maswala ya taifa.
Pole sana Tanzania kwa 2015.
Huu ni ufundi wa mchezo wa karata tatu.........
Saa 6 mchana Prof.Muhongo kajiuzuru!👐?
Saa 9 alasiri baraza jipya likatangazwa.📢😉😉
Saa 12 wakaapishwa!📖👌👌
Saa 2 usiku Jk akakwea pipa to...
Huu ni ufundi wa mchezo wa karata tatu.........
Saa 6 mchana Prof.Muhongo kajiuzuru!👐?
Saa 9 alasiri baraza jipya likatangazwa.📢😉😉
Saa 12 wakaapishwa!📖👌👌
Saa 2 usiku Jk akakwea pipa to...
Chenge is genious:
1. Formality za kisheria tz zina Mkono wa Mtemi.
2. Historia fupi inaonesha skendo zote zinazomuhusu Mtemi huwa zinayeyuka hewani.
3. Mboreshaji katiba ya JMT ya 1977 sambamba na hilo ndio muandishi bora wa Katiba pendwa itakayopitishwa na watz siku chache zijazo...
Pole msio taka fumbua macho ESCROW is Over na imekwisha barikiwa kwa maji ya Kilaini.
Sasa tungoje kumaliza la katiba ya the genious mtemi kisha wembe ni ule ule....................
Upungufu wa Kinga za Ufahamu (UKU) haupoi kwa ARV. Nashukuru sana wanasiasa wetu watz kwa kutufundisha ukomavu...
The rule of disinformation:
"Fabrication of false/altenative evidence. Whenever possible; introduce new facts or Clues disigned and manufactured to conflict with opponent presentation as useful tools to neutralize sensitive issues or impede resolution.
This works best when the crime was...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.