Wakuu Habari,
Naombeni msaada nahitaji kununua gemes za Ps4 kwenye Store yao, ila shida inakuja hamna location ya Tanzania ukiwa unatengeneza account.
Iila nimetengeneza account nikaweka location US ila shida inakuja Kununua game account yangu ya Bank inakataaa Kuingia kwenye account yao ili...
Chief Mkwawa Pole na Kazi..
Mm Pia bajeti yangu ni Laki Tano naitaji simu nzuri yakutumia campun eyote naomba unishauri sim gan nzuri kwa hiyo bajeti sana sana na mimi nacho angalia ni camera ila sim ikiwa adroid itakuwa poa naomba unishauri ninunuwe sim gani.
Nani mmiliki halali?? Nani anastahili kula hizi ndizi?? #Team utata.
Uanaweza kuamua kesi hii?? Au ikitokea ndizi zimekuja upande wako utafanya nini kama hivi na kisheria hapa nani mmiliki!!
Hapana Nachotaka nikutoa hiyo acount na kuweka ingine hiyo account ni ya mtu alikuwa anatumia Nje ila aLinitumia hiyo simu tangia anitumie sijawa itumia bcz inaishia kila siku kwenye kuchaguwa lugha pamoja na kuweka Apple ID
Nilisha wai kumtumia email anitumie detels Lakini ajawai nijibu mail...
Naomba Msaada wako ndugu yangu Mimi nina iPhone 4s iLa nikiitumia hata kama ipod nitafurai sana kwa sababu nimeangaika kwa watu kutoa icloude Account wananiambia haiwezekani naomba nisaidie hata hiyo njia ya kubypass
Heshima Kwenu wana JF..
Nina iPhone 4s iLa inadai iCloud Acount kuweka Apple ID pamoja na Password ila zote sizijui naomba msaada wenu kama kunauwezekano wa kuremove account ya iCloud.
Niko Arusha Kama kuna Mtu anauwezo
Habari Wakuu.
Mimi niko ARUSHA Natafta Laptop kwa ajili ya Masomo Yangu Ya chuo
Kama Kunamtu ana Laptop anauza iwe na sifa Hizi
Intel core i3 Processor oR Dual-Core 2.4ghz AU Zaidi
HDD Isiwe Chini Ya 150GB
2gb Ram AU Zaidi Ya Hapo
DvDrw
webcame
wifi
Bluetooth
2hrs batry AU Zaidi Ya Hapo
Kwa...
Waungwana Habari za Jumapili...
Samahani nilikuwa naomba kuuliza inawezekana kutumia zile servise unazolipia za Intarnet kwenye BB ukatumia kwenye PC
Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
Bunge letu linaelekea wapi jamani, Yaani wabunge waliopewa idhini na wananchi wao ili kutetea maslahi ya wananchi wao hivi
sasa ndo wamekuwa viongozi wa kutukana matusi bungeni.
Vitendo hivi vya kusikitisha vinaonyesha dhahiri kuwa kwa sasa Elimu ya Uzalendo hapa Nchini kwetu inaelekea...
Naombeni msaada wenu Nina BlackBerry Bold Ila tatizo lake huwa nikifunguwa DATA Services kwa ajli ya Network Inaanza kupata Moto sana Mpaka Naogopa Nimesha Badilisha Betri maranyingi ila tatizo bado lipo pale pale Naombeni msaada wenu kama nitapata FUNDI WAKUNISAIDIA KUTATUA HILI TATIZO
Je, unatafuta ajira nzuri inayolipa?
>Mshahara Tsh 600,000/= kwa
mwezi.
>Mda wa kazi kuingia saa 2.30
asubuhi
hadi saa 10 jioni.
... >Allowance 300,000/= kwa
mwezi.
>Siku za kazi jumatatu hadi
ijumaa.
>Usafiri na nyumba ya kuishi upo.
Requirements..
>Cheti cha form 4 na form 6 {CSEE...
Song: Wazo La Leo
Artist: Stamina Feat Fid Q
Studio: Bongo Records
Producer: P funk Majani
Song Writters: Stamina (verses) & Fid Q (chorus)
Intro...
U know what majani??nice to meet you homie
Its moro town baby,,,shorobwenzi
Verse 1. (Stamina)
Elimika nyangema, maisha hayaendeshwi na...
Song: Wazo La Leo
Artist: Stamina Feat Fid Q
Studio: Bongo Records
Producer: P funk Majani
Song Writters: Stamina (verses) & Fid Q
(chorus)
Intro...
U know what majani??nice to meet you
homie
Its moro town baby,,,shorobwenzi
Verse 1. (Stamina)
Elimika nyangema, maisha
hayaendeshwi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.