Hizo ni kauli tu za kisiasa. Mambo ya fomu moja ni udikteta. Haya mambo huwa yanaanza hivihivi, mwisho wa siku kila mbunge na diwani nchini atataka itolewe fomu moja tu kwa ajili yake.
Actually fomu moja kwa ngazi yeyote ile hata ya urais ni kinyume cha sheria kwakua inawanyima haki ya kikatiba wanachama wengine.
Lakini ndio vile tena nchi yetu imejaa kondoo.
Vingi ya hivyo vipengele vipo hapo ili kukusanya mapato ya kuendeshea taasisi husika.
Ni jambo la ajabu, aibu na kipumbavu lakini ndio uhalisia wa nchi yetu. Mambo mengi huwa yanaanzishwa kwa malengo tofauti lakini mwisho wa siku yanaishia kuwa vyanzo vya mapato.
Ujinga nao ni kipaji, na...
Kwani hawa jamaa hawana 'front companies' na zile IDs za kazi, kwamba magari yao yasajiliwe kihalali kama mali ya hizo kampuni zao 'binafsi' au kwa kutumia IDs za kazi za watu wao?
Kama lengo ni kutumia namba za kawaida wangeweza kutumia namba za mpya halali zinazoendana na magari. Yaani unakuta gari ya 2023 na ABZ!!
Imagine mtu amebeba magaidi kwenye Land Cruiser mpya yenye namba feki za zamani au zile chasis namba nyeusi na vimulimuli pale mbele, anakwenda spidi...
Kwa wenyeji jijini Dar es Salaam bila shaka mtakuwa mmeshakutana na haya ma Land Cruiser mapya mapya ya kuanzia kuanzia miaka ya 2020s yenye namba 'A', tena number plate zenyewe zinaegeshwa tu.
Haya magari ni mali ya nani? Polisi wanayaogopa hayasimamishwi wala kukaguliwa. Vijana wa vijiweni...
Na hapo ndio CCM wanafunga bao la mkono. Wale wengine kazi yao ni kunyoosha vidole na kulaumu mbona kile na hiki havifanyiki! Pesa zao zinaishia kukodi mahoteli yakufanyia vikao, hata kujenga ofisi hawataki.
Mchakato mzima wa uteuzi umekaa kimagumashi. Yeye mwenyewe hata hawajui wengi wa hao anaowateua. Majina yanapenyezwa tu.
Kama unamjua mtu sahihi basi uteuzi unakula bila shaka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.