Rais wakati wa sakata la mashine za electronic likichukua kasi juu ya wizi uliokuwa unafanyika msimamizi wa mbeya,tanga, mororogoro na kagera walilalamika sana lakini kwa upande wa Dar es salaam alikuwa anasifia huo mfumo mimi mpaka leo sijajua nini kilikuwa nyuma ya pazia kwa huyu jamaa.
Rais...
RAIS kwenye shilikisho lako unaloliongoza wewe kuna baadhi ya dalili za rushwa kwa baadhi ya kamati hasa ya WAAMUZI umechukua hatua gani mpaka sasa.
Rais mbona hunijibu?
Rais vipi kuhusu adhabu kwa wale watu walijihusisha na matukio ya vurugu katika michezo hasa tukio lile lililofanywa na Katibu wa Simiyu kwa kumpiga mwamuzi makonde mpaka leo sisi wadau hatujui huyu jamaa ameadhiwa au la? maana tunavyojua aliitwa na kamati ya maadili lakini hakuhojiwa kwa sababu...
MALINZI RAIS WA TFF
ulipo ingia madarakani watu wa kawaida walikuwa na wewe ila sasa imani hiyo imeanza kutoweka pole sana
AIBUUUUUUUU.
.Rais wa T.F.F - Yanga
2.Katibu mkuu - Yanga
3.Ofisa habari - Yanga
4.M/Kiti kamati ya Sheria - Yanga
4.M/Kiti kamati ya Nidhamu - Yanga
5.M/Kiti kamati ya...
Mkuu wa mpira hapa Nchini Tanzania.
nilikwambia kwenye ushauri wangu na maswali kwako hatimae yametimia.
KWANZA
Kuhusu suala la kubadilisha waamuzi wa mechi za TOTO ukakanusha sijui na la mechi ya jana ya TOTO na GEITA utalikanusha? aibu aibu sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa kwako kama mkuu wa mpira...
RAIS,
Vipi inaruhusiwa njumbe wa kamati ya utendaji kuingia kwenye chumba cha waamuzi na kutoa maelekezo kwa kwa waamuzi akidai kuwa yanatoka kwako wakati wa mapumziko? hili limetokea vkatika mechi mbalimbali alizocheza Toto African ya mwanza.
na leo inacheza Arusha na yanasemwa mengi juu yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.