Habari za mchana jf?
Jamani naomba kuwauliza wazee wetu mlioko JF, Hivi mliwezaje ama mnaweza vipi kuishi na wake (wives) wawili n.k kwa miaka nenda rudi bila ndoa kuvunjika vunjika?
Vijana wa sasa ndoa ya mke mmoja inatutoa Jasho
Wazee wetu kina Asprin tunaomba mawaidha hapa
Habari JF
Nimeona vyema kuongea hapa kwa walio single basi tuelewane
Nina imani mke mwema anapatikana kokote tu. Haijalishi mtandaoni au mtaani, ile kasumba ya wanawake wa mtandaoni ni wasumbufu, sikubaliani nayo!
Mimi ni kijana wa miaka 25-30,
Nafanya kazi ya ulinzi tu, kwa hio kipato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.