Habarini wandugu wote
Kuna wakati unaweza ukapitia mengi sana na vitu vingi sana ila kuna wakati unaweza ukafika sehemu ukasema yes hapa ndio pahala pake, siwezi sema ni nani ila kwa uwezo wake Allah basi kila kitu kitakwenda sawa, ilikuwa ngumu kuonana ila tukaonana mahala salama kabisa...
Habari ndugu
Nina gari yangu vitz imeanza kuishiwa maji na kuchemsha unaweza ukaweka maji ukaenda umbali flani ukicheki maji unakuta yameisha kabisa na kupelekea kuchemsha
Na pia ukiwasha ac ukienda umbali kidogo unakuta maji yameisha yote na gar inazima ghafla
Gari sijawah fungua injin Wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.