Yote kwa yote bongo bado kugumu uwe mwajiriwa au kujiajiri nakushauri pambana sana hakikisha ukirudi huku uwe umejitolesha hao wanao kwambia 10m itakutosha nao wanazo na bado wanapigika haswa.
Bongo ni nchi ya ahadi ndugu yangu.usiogope kufa pambana sana hata huku kuna vibaka wengi tu umepata...
Utajir wa kafara Ni nyota na bahati si Kila anae taka utajir huo hupata wengne huishia kuhangaika na kupigwa pesa na wataalamu wa tiba hizo.
Na hakuna Alie tajirika kwa Nguvu za giza bila maagano na maagano Ni mazito Sana
NB: Kuna kafara kuu mbili ,,kafara ya damu ya binadamu ,,,,, na kafara...
Nikiangalia hzo picha zinazosema mtu kakanyagwa shingo na mguu wa mtu mwenye kilo Zaid ya 80 na jicho la mtu Alie kanyagwa liko limetulia tu hapo ndipo nafikiria upeo wa watu hao ulivyo mdogo
Mm nasubiria kuwa kiranja wa mazombie Nina rungu ukizingua TU nakupa la kichwa nitawalisha unga mpaka basi
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Nilikufanyia usanii gani funguka hapa watu wajue Kama nilikuomba hata hela yako Wala kuomba namba yako ya simu napenda uwaambie uma wa jf usanii wangu uko wapi
Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.