Tuachane na fikra potofu na tumpime individual na mchango wake kwetu. Tutafika mahali tutawakosea hata waliotuzaa na kuwaita washamba kwa sababu tu hawachomekei kama wewe. Please stand corrected.
Naamini kwamba kufanya mageuzi ya kweli ndani ya CCM ni kufanya mapinduzi ndani ya serikali. Kwa CCM inawezekana? Kinachosemwe ni mbali na matendo halisi. Propaganda ipo wapi - CCM au CDM?
Hili limenigusa kwenye kidonda cha siku nyingi. Tatizo hapa ni sheria kawekewa nani - sisi au wao na sisi. Hiyo haitoshi. Kofia nyingi ambazo zintumika kwa sasa hazimlindi mwensha pikipiki. Ni nyepesi mno kiasi kwamba ikidondoka inapasuka - kichwa je? Mamlaka husika ya viwango inasubiri mtu...
Ikiwa TCRA ni waangalizi waliogeuka watazamaji inabidi nayo itafutiwe mwangalizi au iundiwe tume? Imefika wakati menejimenti zote zinazonekana zinalegalega zipewe contract. Tunakoelekea ni kwamba tutalumbana wakati dawa ni management by contract. Mbona tutawatimua wengi tu. Kwa sasa kama...
The thread has a point. The comments lack mwelekeo. My observation is: what now? As per our constitution we put him there albait the numbers do not reflect the reality. Lets come up with tangible solutions not malalaiko day in day out! Maisha ya waTanzania wengi yapo njia panda na wachache...
Naona na hili ni janga la kipekee la taifa. Nina wasiwasi basi hili lilibebe petroli. Haiwezekeni gari ya dizeli iteketee kwa muda mfupi. Serikali ina nyenzo zote. Sasa mabasi yote ya abiria yazianze safari bila ya ukaguzi na udhibitisho wa ukaguzi huo. Askari wote wa barabarani wafanye kazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.