Wanasiasa wanatuchezea akili, wote lao moja, kuchumia matumbo yao na familia zao, kujilimbikizia mali na kutafuta umaarufu tu.SIONI HAJA YA KUSUMBUKA KUPIGA KURA MIE
Sent using Jamii Forums mobile app
CHADEMA ni taasisi,maamuzi yote yanayofanywa pale si ya Mbowe kama baadhi ya mamluki wa upande ule mnavotaka kutuaminisha.Mnahoji maamuzi ya CHADEMA,nyie mlipomtimua MEMBE kisa ana nia ya kugombea Urais mliulizwa na nani?ACHENI UZWAZWA
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugai acha kiherehere,maamuzi ya CHADEMA yanakuhusu nn?Wewe ndo unawapa kiburi wasifuate taratibu za Chama,angalia ya kwako huko kijani njano party
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu jamaa nashindwa kuelewa hichi kibri anakipata wapi!Inavoonekana yuko juu ya sheria huyu ndugu Bashite.Amekuwa anatoa matamko ya ajabu na hovyo kila kukicha.Mara mwanamke atakayepigwa na mumewe,apigiwe simu,utapokea simu za wanawake wangapi hapa Tanzania?Mara wanawake waliotelekezwa akutane...
Tatizo la covid 19 limewafanya hata madaktari wawe na hofu muda mwingi,tusiwalaumu sana,nyenzo za kukabiliana na hili janga bado ni changamoto kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.