Juhudi kubwa zinafanyika hivi Sasa na Marekani na West kuiaminisha dunia kuwa mauaji huko Moscow yamefanywa na ISIS...Mara baada ya Tukio USA ilikuja na tamko kuwa Ukraine haihusiki...ISIS wenyewe katika ha isiyo ya kawaida wametoa hata picha ya wahusika...incredible...huhitaji kuwa na akili...
Naitunza comment hii.....
Unadhani kufanya rafu na kuwachezea vibaya wachezaji wenzako ni sifa???!!!! Hata kidogo.....Unadhani huyo Zayd alichowafanyia wachezaji wa Yanga kwa kuwaumiza unadhani ana raha??? What goes around comes around....Huyo Zayd atakuwa target na wachezaji wengine...
Kwani Fei alizoweka kwenye akaunti ya Yanga zilikuwa zake????!!!! Azam walimshawishi Fei aondoke Yanga. Walimshawishi kinyume cha taratibu za FIFA kwani alikuwa bado na mkataba na Yanga. Hakuna chombo cha habari kilichoenda zaidi ya hapo kwa kile kilichoonekana kuwa ni kuhongwa...
Viwanja vyote vya soka huko England vitakuwa targets... vitabomolewa vyote chini ya dakika tano. Hakuna tena premier league. Uchumi wa England ambao kwa asilimia funai unategemea soka utakuwa kaputi.
Kwa hiyo wewe unadhani utapona???!!!! Dunia nzima itateketea... kwa hiyo acha ushabiki na kujitoa ufahamu. NATO wamezoea kuonea nchi nyingine ila sasa wamekutana na mwamba. Wakiingiza askari tu kwa maana the boots on the ground. Moscow inatangaza vita rasmi. Na ndiyo maana leo au jana Putin...
Bombers hizo kwa maana ya TU-95 na TU-22 hutuma makombora yao zikiwa strategically ndani ya Russia iwe no kwa nchi kavu au baharini...hata MIG 31 ni hivyo hivyo....
Lakini kwa namna nyingine zinaweza zikaingia ndani ya nchi ya adui na zikafanya kazi zikiwa juu Sana angani ambako mifumo ya...
You are missing the point...language yako au andiko lako linaonesha dharau, chuki na ujinga uliopitiliza na hata upumbavu....Huyo uliyemtaja hatunaye Tena kwa hiyo uwe na heshima kwake...onesha ukomavu wako katika masuala ya utu na kijamii...
Huyo uliyemtaja angekuwa ni baba yako ungeandika kuwa alitolewa kwenye oxygen na kwamba alikuwa anakohoa Kila baada ya sekunde mbili kiasi Cha kushindwa kueleweka ?!?! Stupid to the core
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.