Search results

  1. B

    Ligi zimeisha hawa ndio wachambuzi wangu bora wa michezo2020

    N Niliwah kumskia Huyu jamaa kipindi yupo Magic FM nadhani. Jamaa anajua sanaa alinichambulia game kati ya Man U Vs Liverpool siku ya ijumaa J2 matokea na mchezo ulaja kama alivypchambua! Daaaah tofauti na hawa wadau wengime wanaJudge baada ya Game..
  2. B

    Ligi zimeisha hawa ndio wachambuzi wangu bora wa michezo2020

    Itakua umemskia George Ambagile. Jamaa anajua
  3. B

    Mechi kumi kali

    Liverpool Vs Chelsea(1-1)...Msimu wa Mwaka jana. Daniel Sturridge anasawazisha GOLI dkka ya 93 anapiga 90º(degree)... hii Game nakbuka mpira ulipigwaa Sanaaaa! KLOP Akawa anacheka tU akamfata Masigara wa chelsea Akamuliza "Are u Enjoying"....hakika mpira Ulipigwa Sanaa.....
  4. B

    Islamic Laws of Wills

    Ya hyo naelewa kabisa! Ndo maana hpo Nmeleza kwa sasa tushakua watu wazìma Tunaweza tukatoa maamuzi aslong tunatambua mali ni zetu! Na tunaona Copy yetu ipo nje Syo mbaya kumpatia % kadhaa!.Na uzuri wao hawakuleta shida nyingi kipindi mirathi inagawanywa! Nadhan walitambua hyo sheria....
  5. B

    Islamic Laws of Wills

    Yaa Kweli kabisa! Nakumbuka Mshua alifariki 2009 kutokea Arusha tukaenda kuzika Tanga Nipo mimi na mdogo wangu wa kike! Kipindi hcho tulkua under 16, Baba aliacha mali kadhaa Tulishkuru mungu Upande wa baba Walkua poa kabisa Mali ziligawanywa kwa sisi watoto tu(yani mimi na mdogo wangu wa kiki)...
  6. B

    Mambo 10 ya kufanya kabla hujafika umri wa miaka 28

    Y Ya ni Assets... na assets zimetofautiana! Kuna fixed Assets Na Current...
  7. B

    Nahitaji mawazo: Nataka kuuza shamba langu kisha niwekeze kwenye madini

    Ya nalielewa hilo kiongozi!.hakuna tatizo muongozo ninaO
  8. B

    Nahitaji mawazo: Nataka kuuza shamba langu kisha niwekeze kwenye madini

    Natumai Mu Wazima! Nina shamba langu Hekari 5 lipo Tanga! Nafikiria kulipiga bei, then pesa nitakayopata niongezee niingie kwenye biashara ya madini huku Arusha. Market Value ya hiyo Hekari 5 ita-range kama bei gani hivi? Tukizungumzia "Time Value Money". Mawazo yenu wadau.
  9. B

    Msaada wadau, naomba kujuzwa app ya kublock namba ya simu

    Natu Natumia SUMSUNG. Blacklist ipo,ndo kama hvyo nlivyosema! UkiBlock then mtu akijaribu kukupigia utaskia No bussy. Mi nahitaji ambayo Mtu hanipati kabisa..
  10. B

    Msaada wadau, naomba kujuzwa app ya kublock namba ya simu

    App ya kublock namba ya simu. Ukimblock mtu asikupate hewani kabisa. Achana na hizo za magumashi! Ukimblock mtu simu inaita kidogo then unambiwa No ipo Bussy. NO.
  11. B

    Liverpool imeiumbua E.P.L , sio ligi ngumu kama tulivyoaminishwa

    2018/2019 EpL ndo ligi bora kijana!. Facts zipo kila mtu anajua...Zimeingiza timu 5 kwnye UEFA.na Tumeshuhudia fainali za uefA na Ueropa Zikitawala timu za England.Makombe ya ULAYA yamenda England....... Hzo ndo FactS... so Tuliaaa
  12. B

    Liverpool imeiumbua E.P.L , sio ligi ngumu kama tulivyoaminishwa

    Mpinzani wa Mpinzani wa LiverpooL ni Manchester City bana!, hyo man united imebaki historia tu.
Back
Top Bottom