N
Niliwah kumskia Huyu jamaa kipindi yupo Magic FM nadhani. Jamaa anajua sanaa alinichambulia game kati ya Man U Vs Liverpool siku ya ijumaa J2 matokea na mchezo ulaja kama alivypchambua! Daaaah tofauti na hawa wadau wengime wanaJudge baada ya Game..
Liverpool Vs Chelsea(1-1)...Msimu wa Mwaka jana. Daniel Sturridge anasawazisha GOLI dkka ya 93 anapiga 90º(degree)... hii Game nakbuka mpira ulipigwaa Sanaaaa! KLOP Akawa anacheka tU akamfata Masigara wa chelsea Akamuliza "Are u Enjoying"....hakika mpira Ulipigwa Sanaa.....
Ya hyo naelewa kabisa! Ndo maana hpo Nmeleza kwa sasa tushakua watu wazìma Tunaweza tukatoa maamuzi aslong tunatambua mali ni zetu! Na tunaona Copy yetu ipo nje Syo mbaya kumpatia % kadhaa!.Na uzuri wao hawakuleta shida nyingi kipindi mirathi inagawanywa! Nadhan walitambua hyo sheria....
Yaa Kweli kabisa! Nakumbuka Mshua alifariki 2009 kutokea Arusha tukaenda kuzika Tanga Nipo mimi na mdogo wangu wa kike! Kipindi hcho tulkua under 16, Baba aliacha mali kadhaa Tulishkuru mungu Upande wa baba Walkua poa kabisa Mali ziligawanywa kwa sisi watoto tu(yani mimi na mdogo wangu wa kiki)...
Natumai Mu Wazima!
Nina shamba langu Hekari 5 lipo Tanga! Nafikiria kulipiga bei, then pesa nitakayopata niongezee niingie kwenye biashara ya madini huku Arusha.
Market Value ya hiyo Hekari 5 ita-range kama bei gani hivi? Tukizungumzia "Time Value Money".
Mawazo yenu wadau.
Natu
Natumia SUMSUNG. Blacklist ipo,ndo kama hvyo nlivyosema! UkiBlock then mtu akijaribu kukupigia utaskia No bussy. Mi nahitaji ambayo Mtu hanipati kabisa..
App ya kublock namba ya simu. Ukimblock mtu asikupate hewani kabisa. Achana na hizo za magumashi! Ukimblock mtu simu inaita kidogo then unambiwa No ipo Bussy. NO.
2018/2019 EpL ndo ligi bora kijana!. Facts zipo kila mtu anajua...Zimeingiza timu 5 kwnye UEFA.na Tumeshuhudia fainali za uefA na Ueropa Zikitawala timu za England.Makombe ya ULAYA yamenda England....... Hzo ndo FactS... so Tuliaaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.