Search results

  1. Mdharuba

    Msaada: Sheria ya bima ya afya

    Wakuu naomba kuuliza sheria ya bima ya afya kwa mfuko wa NHIF inasemaje kwa mwenza zaidi ya mmoja? Je, unaweza kuandikisha mke zaidi ya mmoja katika mfuko? Ahsante
  2. Mdharuba

    Makosa yanayofanya baada tu ya kuolewa, uchokwe

    Habari za mwaka mpya wakuu. Mwaka 2018 sidhani kama niliandika chochote humu jukwaani, ulikuwa mwaka nitakaoukumbuka kwa mengi. Baada ya salamu ndefu, naomba niulize hivi kwa wadada/wamama:- Umeshawahi kujiuliza kwanini kabla ya ndoa kunakua na mapenzi motomoto sana, lakini baada tu ya ndoa...
  3. Mdharuba

    Dalili 10 za mwanamke msaliti

    Habari Wadau... Ni muda mrefu sasa sijachangia humu ndani, majukumu yamenifanya niwe nasoma thread za wenzangu tu.. Ila leo acha niwanasue baadhi ya vijana wanaoelemewa na mizigo mikubwa ya wasaliti bila kujua. Dalili zifuatazo ni dalili kuu kuwa mwanamke uliyenaye si mwaminifu. 1. Line za...
  4. Mdharuba

    Huna sababu ya kutonukia vizuri muda wote, gharama ni ndogo sana

    Mimi binafsi sioni sababu ya mtu kunuka jasho hata kwa dakika moja. Ni rahisi sana kunukia vizuri. Njoo nikupe bidhaa zote zitakazokuacha na harufu nzuri muda wote. Tunaanzia mdomoni, kwa kukupa dawa safi ya meno, kwa hakika utayafurahia maongezi. Kisha mwili unahitaji sabuni ambayo utaogea na...
  5. Mdharuba

    Dawa Maalum Ya Meno Inayozuia Harufu mdomoni na Kutoboka Kwa Meno

    SHIMO KWENYE JINO (CAVITY) JE, Umeshawahi kusikia kuhusu mtu kwenda kujazwa risasi katika jino? Unafikiri kwanini jino lijazwe risasi? Nini kimetokea? . Ngoja nikwambie kitu.. SHIMO katika jino ni matokeo ya kuharibika kwa jino. Kuharibika kwa jino kunaweza kuathiri sehemu zote, sehemu ya...
  6. Mdharuba

    Hadithi: Hirizi ya mapenzi

    Na: Mdharuba J.K. *SEHEMU YA KWANZA* ★★★★★★★★★★★★★★★★★ “Nashindwa kuelewa kwa nini nakupenda kiasi hiki Jay, nahisi kuchanganyikiwa juu ya penzi lako my” Jacqueline alisema maneno haya huku akiwa amelalia kifua changu. Tulikua katika chumba changu kidogo nilichopangisha uswahilini...
  7. Mdharuba

    Serikali ya Tanzania na fani ya Ualimu, tunajenga au tunabomoa?

    Habari wanajamvi.. 1. “...Serikali imetangaza kuwa itawapa 'mafunzo maalum' wale ambao wana Degree za Sayansi ambazo si za ualimu ili waweze kwenda kufundisha. Hii ni katika juhudi hizi za kukabiliana na uhaba wa walimu wa Sayansi mashuleni...” PIA 2. “...Serikali imesema...
  8. Mdharuba

    Story ya mapenzi: Karibu Uani

    *STORY*: KARIBU UANI *MTUNZI*: JK 0718274130 *SEHEMU YA KWANZA* ************** Saa 12 asubuhi, tayari nilikua njiani kama kawaida yangu. Nilikua katika pikipiki yangu ambayo mara zote ndio huwa naitumia katika safari zangu zote, ikiwemo hii ya kazini. Kwakuwa nilikua mbali na mjini, ilinilazimu...
  9. Mdharuba

    Story ya Mapenzi "Kindere" na J.K

    STORY:KINDERE EPISODE 01 ******* "Sijui ni nini kinachonivutia kwako, sielewi. Nahisi kuchanganyikiwa kabisa na muda wote nakuwaza wewe tu". Maanu alinambia maneno haya akiwa amejilaza kifuani kwangu tukiwa katika chumba hiki nilichopangsha maeneo haya ya uswahlini. Kiufupi sikuwa na cha...
  10. Mdharuba

    RIWAYA MPYA: "Sikutegemea'' na Mdharuba J.K

    STORY: "SIKUTEGEMEA" MTUNZI: Mdharuba J.K. SEHEMU YA KWANZA. ★★★★★★★★★★★ "Ndo huyu huyu.. mi naona dawa yake ni kumpoteza kabisa duniani.." Alisema yule bwana aliyekuwa amevaa koti jeusi na suruali yake ya kijani kibichi...
  11. Mdharuba

    Kabla ya kumpigia kura yeyote, soma hapa kwanza

    Ni muda mrefu sana tangu vuguvugu la uchaguzi lishike kasi, watu wamekua wakichangia, wakitoa maoni yao na kueleza hisia zao! Nimekua mfuatiliaji tu wa yanayoendelea kwa muda wote huo, ila leo na mimi naomba nitoe tafakuri yangu kuhusu mambo yanavyoenda. Kwanza, ni masikitiko yangu makubwa...
  12. Mdharuba

    Dada usifanye hivi kwa mdogo wako wa kiume

    Habari zenu wanaJF, Kwakweli nimewamis sana! Ila tuko pamoja! Kwa bahati mbaya au nzuri mimi ndiye mtoto wa kiume pekee nikiwa mtoto wa tatu kati ya watoto wanne, wenzangu wote ni wa kike. Sasa huyu dada yangu mkubwa ananipa wakati mgumu sana mimi. Ngoja niwaeleze.. Yeye ananifahamu mimi...
  13. Mdharuba

    Mwanaume: Fuata utaratibu huu ili kutongoza kwa mafanikio

    Habari za swaumu wanaJf, Naamini nyote mko na afya imara tu za kuendelea kuruhusu kuona hiki nilichoandika hapa. Niliahidi kuwa nikimaliza UE nitakuja hapa kueleza mambo muhimu haswa yanayotuhusu wanaume. Naanza na wanaume kwanza, wanawake nao tyme yao itafika. Back to the topic; Hivi ni...
  14. Mdharuba

    Mwanaume: Oa anayekupenda, sio uliyemtengenezea mazingira akupende

    Habari za wakati huu, Muwazima?.. Baada ya salamu, mimi mwaka huu nimedhamiria kuwakomboa wanaume wenzangu kwenye majanga ya mapenzi, maana wengi katika wao, wanasumbuka mno! Naomba nianze kuifafanua hiyo heading hapo juu. Juzi kati hapa nilileta tofauti kati ya kupendwa na kuonyeshwa mapenzi...
  15. Mdharuba

    Tofauti kati ya kupendwa na kuonyeshwa mapenzi

    Habari wanajamvi, Naomba nieleze (japo kwa ufupi) tofauti iliyopo kati ya kupenda na kuonyesha mapenzi.Ni ukweli ulio wazi kuwa wanaume tulio wengi sana tunajikuta tukidanganyika kirahisi mikononi mwa wanawake. Wanawake haswa wale wanaojua haswa mbinu na njia sahihi za kumdaka mwanaume...
  16. Mdharuba

    Msaada: Hatimiliki na taratibu zake

    Wakuu habari zenu, Naombeni msaada wa kisheria kujua kuhusu hatimiliki na taratibu zake, na gharama zake zikoje pia!! Kama kuna mwanasheria ambaye atataka kunisaidia zaidi..naomba anitafute kwenye namba 0718274130, msaada muhimu sana maana nina haki zangu nakaribia kuporwa. Asanteni
  17. Mdharuba

    Kanishobokea sana nikajifanya simuelewi, ila mwisho nimeangukia kwenye penzi lake

    Kama hukubahatika kusoma hii story, jitahidi uisome hapo chini, maana wadau walichangia sana baada ya mimi kufunguka hapa. Kiukweli kuna wadau waliniuliza kuhusu matumizi ya condom na blabla zingine... Ila ukweli ni kuwa sikutumia hayo mavitu,, ile siku kumbe ndo alikua anamaliza siku zake...
  18. Mdharuba

    Zingatia hili ni muhimu sana kabla hujaoa

    Habari wanaJF, Kusema ukweli nimejaribu kufanya uchunguzi mdogo ambao unahusu kijitabia fulani cha wanawake ambacho ni muhimu zaidi kukifikiria na kukifanyia kazi kabla hujaingia katika maamuzi magumu ya kuoa. Mara nyingi ndoa za siku hizi zinaonekana kutodumu kwa muda mrefu kuzidi hata muda wa...
  19. Mdharuba

    Sababu kuu ya kuwepo cheti cha ndoa ni kutoaminiana

    Wanajamvi, Na mimi leo nimeona niandike thread hii ndogo tofauti na story zangu za kila sik kujaribu kuweka wazi kile ninachokihisi. Mimi naamini ndoa ni jambo la makubaliano ya pamoja kati ya muoaji(mume) na muolewaji(mke), ila kwa uzoefu wa ndoa nilizohudhuria, kunakuwa na mashahidi kutoka...
  20. Mdharuba

    Supriiiseeee!!!

    Uko na girlfriend wako kwenye basi mmesimama, anakuuliza, 'baby nikufanyie surprise?' unamjibu 'ndio'. Anakusogelea karibu, anafungua zipu, anaingiza mkono, anaitoa nje mbele za watu. Unabaki tu kutoa macho huna cha kufanya, then anakuuliza, nikupe hapa hapa au tukifika nyumbani? Kwa kuwa na...
Back
Top Bottom