Ww hujapata bikra, umepata mzinifu mwenzako ambaye ameanzia kwako. Hapa tunazungumzia kuoa mwanamke mwenye bikra. Halafu unaonekana una mwanamke mwenye miaka kati ya 18-20 hao ndivyo walivyo hata wakiwa sio bikra.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahy ww siku zote unasubiri wanaume wenzio wakufundishie mwanamke wako jinsi ya kufanya good sex na ww?? Na bado unajiita mwanaume?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaongelea dunia ipi mkuu? Kutokuilinda bikra inaweza ikawa ishara kubwa tu ya kukosa malezi ya kujitambua.
Usiseme haina umuhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka na wanaume nao wajitunze?? Jiulize hekima ya Mungu kwanini aliweka bikra kwa wanawake tu, hakuweka kwa wanaume? Kwanini?
Bikra ni kipimo sahihi cha yote yaliyojificha ambayo huwezi kuyaona kirahisi. Mungu amekurahisishia akakuwekea bikra ili usipate tabu kuyaona hayo mambo.
Kuhusu mtu...
Yaani mwanamke yeyote, nasisitiza YEYOTE, akifikia hatua ya kukublock ujue ana Alternative tayari, kuendelea nae ni kupoteza muda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.