Hii wizara ni ya afya na ustawi wa jamii ila marazote nasikia afya tu hawa watu waustawi wajamii'sociology'hawatajwi kabisa hata katika nafasi za kazi wala takwimu zao hatupewi..Kama vipi wangepewa wizara yao hapa naona kama wamekuwa wanasindikiza wanashindwa kuwajibika.
Mkuu mimi tatizo langu ni ugonjwa wa ngozi ni wasiku nyingi,nimetumia dawa nyingi za hospitali bila mafanikio unaacha halafu unarudia.Unakuwa kama m-ba sugu kichwani na usoni.Ningeomba msaada wako mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.