Search results

  1. M

    Msaada: Taasisi gani naweza pata mkopo wa Tsh Milioni 2

    Au na TAKUKURU nao wanaingia humo na kuiita mikopo CHEFUCHEFU na hatimaye mkopeahaji na mkopaji mnakutana kwa KAMANDA!
  2. M

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Bei zake zikoje, hivyo vya kudumu na hivyo vingine vya wazi? Ni vya Manispaa au vya watu binafsi!? NA VIPO?
  3. M

    Ushauri: Nina milioni 6 lakini sijui nifanye biashara gani

    Unaweza kuingia humo, mimi nimo humo kwa kama wiki tatu sasa. Ila nikupe angalizo kidogo. Ni kuwa utahitaji uwe na kama 8 milioni ili uiweke Bajaj yako barabarani yaani bei ya kununulia zina range kutoka 7,350,000/= hadi 7,500,000/=. Mimi niliipata kwa 7,400,000/=. Ongeza hapo Bima Kubwa...
  4. M

    Kuna kila dalili Samia Suluhu atakuwa Rais wa muhula mmoja pekee, dalili hizo ni hizi...

    Sitaki kuingia kwenye majina ya AWAMU, ila kwa hesabu ya kawaida tu ni kuwa hii ni Serikali ya AWAMU YA TANO, kwa maana kuwa CCM tumekuwa na utaratibu wa kuwapa Marais wetu, kuanzia Awamu ya Mzee Mwinyi, hadi leo, miaka kmi ambayo ni sawa na AWAMU MOJA. Hii ya Rais Samia Suluhu Hassani ni...
  5. M

    Baada ya uteuzi wa Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa JMT, sasa naamini watu kama Makonda, Chalamila, Ole Sabaya hawana nafasi katika Serikali

    Well nisingependa kuingia kwenye malumbano ya kisheria ambako siko kwangu, ila uzoefu unaonesha kuwa SIYO LAZIMA every incoming new president aanze au ateue baraza la mawaziri lake. It is rightly assumed kuwa kwenye uteuzi wa haya mabaraza ya mawaziri, Rais mara nyingi, kama sio zote, huwa...
  6. M

    Baada ya uteuzi wa Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa JMT, sasa naamini watu kama Makonda, Chalamila, Ole Sabaya hawana nafasi katika Serikali

    Huu nao pia ni ushauri kwa kiongozi wetu mpya, Rais Samia Suluhu Hassan, basi tusubiri kwani yote, kuvunja na kuunda Baraza jipya la Mawaziri au kuendelea na hili au kulifanyia marekebisho kidogo kadri apendavyo, YOTE YAKO NDANI YA UWEZO WAKE au siyo! Tusubiri tuone.
  7. M

    Baada ya uteuzi wa Philip Mpango kuwa Makamu wa Rais wa JMT, sasa naamini watu kama Makonda, Chalamila, Ole Sabaya hawana nafasi katika Serikali

    Nimeyasoma mawazo yako NAYAHESHIMU ila kwa kweli ni vizuri tusubiri tuone yajayo bila kuwa na jaziba au chuki za wazi wazi kwa yoyote. Huu ni ushauri tu, halafu, nilikuwa napita tu!
  8. M

    Bureau de change zimerudi?

    Kwa urahisi wa kupata jibu la swali hilo, aidha ngoja wana zengwe wa JF waje au kwa urahisi pita pita BOT wakupe jibu au majibu YA UHAKIKA juu ya issue hii. Hata hivyo, nijuavyo mimi ni kuwa Bureau de change hazikuondolewa bali yaliwekwa masharti mapya ya kufanya biashara hiyo. Check na BOT on this.
  9. M

    Utawala wa Hayati Dkt. Magufuli ulijaa kiburi, majigambo na uonevu, ufitinishi na visasi

    Kama waliyokuwa wakisema ni haki, mimi sioni tatizo la wao kuendelea kusimamia misimamo yao hiyo, kama wewe unavyo simamia misimamo ya Tobo, utadhani ulikunywa maji aliyokupa Tobo, hivyo uko tayari kusema na kunena lolote lile, iwe kweli iwe uongo, iwe shombo au iwe chochote. Pole sana Mhabeshi!
  10. M

    Utawala wa Hayati Dkt. Magufuli ulijaa kiburi, majigambo na uonevu, ufitinishi na visasi

    Hili ni POVU la asiye kuwa na HOJA na ni mfano mzuri wa kukosa kitu cha kuzungumzia cha zidha kuujenga upande wako au kuubomoa upande mwingine, kinacho someka na maneno ya MFA MAJI, akijaribu kurudi ufukweni ambako pia hapajui, basi, anabaki kutapatapa tu ili mradi naye aonekane kasema kituhumu...
  11. M

    Watu wanahisi mimi ni usalama wa taifa, naombeni ushauri

    Hiyo nayo ni kazi tu kama kazi nyingine zozote, isikupe kufikiri kama eti ni kitu special sana! Na hivyo uajidhania kuwa wewe ni special, HAPANA!
  12. M

    All races were created were belong to, we were never all black Africans

    This is self-defeatism! Unasema "ni lazima" yawepo makosa aidha ya kiuandishi au ya kimatamshi? Huu ni upotoshaji wa lugha aidha yako ya asili au ya kigeni! Ukishindwa kuandika kwa ufasaha kwa lugha yoyote ile, maana yake ni kwamba HUIJUI LUGHA HIYO, la kufanya ni kwenda kuijifunza hiyo lugha...
  13. M

    Tundu Lissu: Ni wakati wa kufungua ukurasa mpya kama Taifa

    Yaah I too hate Makapuku kama Tobo wanaojipendekeza kwa mabeberu1 Toboanafanya hivyo ili apate kamkate kake ka kila siku huko Ubelgiji, vinginevyo ataishia KUD#### mitaani kwani huko there is no FREE KUNCH. You have to "pay for everything".
  14. M

    Tanzania wapata Suluhu baada ya Pombe

    Wana muziki gani hao WAKIMBIZI?
  15. M

    Tundu Lissu: Ni wakati wa kufungua ukurasa mpya kama Taifa

    Sawa na huyo anayeitafuta IKULU kwa udi na uvumba , tumuweke kundi gani!? Ana nini anachokitaka HATA kwa kutaka kuua watu humo mabarabarani NI NINI kama siyo tamaa za fisi?
  16. M

    Tundu Lissu: Ni wakati wa kufungua ukurasa mpya kama Taifa

    Pelekeni mpira kati nyie mliofungwa magoli! Kauanzisheni!
  17. M

    Tundu Lissu: Ni wakati wa kufungua ukurasa mpya kama Taifa

    Kuna mahitaji mengine zaidi ya elimu ili kuwa Rais wa nchi yoyote na hususan Tanzania. Mdanganyeni Tobo na kumpa bichwa eti anaweza kuwa Rais wa Tanzania. Ingawa wapambe wana nguvu zaidi ya mwenye mali.
  18. M

    Baada ya Kifo cha Rais Magufuli: Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais Tanzania?

    Mimi naona January kama NI SPENT FORCE! Sasa haya ni mawazo yangu. Msinitukane, myaheshimu tu hivyo hivyo!
Back
Top Bottom