Wadau napangisha Nyumba ipo Pugu Kichangani bei ni Tshs 200,000/= Yeyote anayehitaji anipigie kwa simu namba 0687702626. Nyumba ina vyumba 3, sebule,dinning,jiko choo cha ndani.Kisima kipo. Haina Dalali. Unaweza kuiona kwa picha hapo chini. Ulinzi upo.
Wadau yeyote anayejua nataka kununua TERIOS KID DAIHATSU cc 650 sijui utumiaji wake wa mafuta. Nataka iwe inanisaidia kwenda nayo kazini. Kwasasa nina NOAH inakula sana mafuta. Tafadhali aliyewahi kutumia gari hii anijuze 1 lita inakwenda kilometa ngapi?
Kwa wale wateja wa kifurushi cha Compact Plus ambao wengi wetu tumevutika na hii channel ambayo inaonyesha live mechi za mpira wa miguu wataiondoa kesho midnight. Sasa sijui wanampango gani na sisi wapenzi wa mpira. Kama kuna mdau yeyote wa DSTV humu JF atuambie kama kutakuwa na njia nyingine ya...
Sio sehemu nzuri kwenda, nimeishi huko miaka kadhaa nikaona hakuna dili nimerudi bongo mambo tambarare, nakushauri komaa hapa hapa Bongo opportunities zipo nyingi sana mkubwa.
Ikulu matatani
• Msemaji wa Rais adai kauli ya Dk. Ulimboka ni ya kipuuzi
na Waandishi wetu
SIKU moja baada ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Nchini, Dk. Stephen Ulimboka, kusisitiza kwamba alitekwa na mtu anayefanya kazi Ikulu, Ramadhan Ighondu, Ikulu imehamanika na kujitetea...
Serikali ya Ethiopia imetangaza kifo cha Waziri Mkuu wa nchi hiyo Bw. Meles Zenawi baada ya kupita wiki kadhaa za uvumi kuhusiana na hali ya afya yake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.