sikumbuki hiyo ya Sadiki lakini nakumbuka hii nyimbo...
Mkulima mwenye shamba alipanda viazi
akachimba chimba chimba akaona almasi
lo lo lo bahati ya mtu mwenye shamba
akatupa jembe upande akaenda mjini
kununua motokaa sasa ni tajiri
lo lo lo bahati ya mtu mwenye shamba!
the good ol' days... nakumbuka ya Sungura...
Hadithi inayokuja ni ya sungura sikia
hadithi uliyongoja leo ninakuletea
alitoka siku moja njaa alipo sikia
njaa aliposikia sungura nakwambia
Siku ile akaenda porini kutembelea
akayaona matunda mtini yameenea
sungura akayapenda mtini akasogea...
Hawa watu walifanya mkutano Boston at that time walikuwa wanasolicit watanzania wanaofanya kazi marekani kuapply ili waweze kuonyesha OPIC kuwa demand ipo na watu wenye kipato cha kulipa hizo morgage wapo. Walisema morgage zingekuwa kama dola 600 kwa mwezi lakini interest yao ilikuwa juu...
Madaktari hawathamini wagonjwa. Mama yangu alikuwa anamatatizo ya moyo, kila akipewa appointment Muhimbili anakaa kumsubiri daktari hata masaa sita, daktari akitokea anaona wagonjwa watatu anasema wengine wapewe tena appointment after waiting for 6 hours!!! mara nyingine daktari hatokei...
Wazo zuri la kuunda jumuiya ya watanzania. Muongee pia na jumuia za watanzania wa sehemu nyingine kwa ushauri zaidi, kwa mfano New England kuna jumuia ambayo ilianzishwa kama a social organization kuwakutanisha watanzania kila summer kwa kufanya barbeque na sports (soccer matches/ volley...
Hii tabia ya kuajiri watoto wadogo na kuwanyanyasa lazima ikomeshwe, sasa kumbe wana binti wa miaka 25, mtoto wa 15 wa nini? Hivi tumekuwa wavivu kiasi hiki? Tena usikute mama mwenye nyumba hata kazi hana!!!
Maswali ni mengi kuhusu jinsi ya kukomesha utumwa wa kisasa (aka ma-housegirl)
Hivi hakuna sheria inayosema huwezi kumuajiri mtoto chini ya miaka 18? Kama ipo kwanini chama cha mawakili wakike haki chukui hatua kutetea haki za wanyonge kama haka kabinti? Kabla ya ku-deal na uchawi huyo...
Maskini mtoto wa watu, Mungu aipokee roho ya marehemu Imran na apumzike kwa amani, Amin. Pole nyingi kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki wa Imran. Ni uchungu mkubwa kwa wazazi wa huyu kijana, Mungu awape nguvu katika kipindi hiki kigumu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.