Heri ya mwaka mpya 2021.
LAKE FOOD PRODUCT SUPPLIER
Wauzaji na wasafirishaj wa samaki na dagaa waliokaangwa mikoani.
Jipatie dagaa safi wa mwanza waliokaangwa
Vizur na watamu Hawana michanga.
Kula dagaa kwa Bei
nafuu kabisa kwa matumiz ya nyumbani na
biashara package zipo za 200,500,1000,2000...
PC yangu n aina ya Fujitsu FMV-718NU4 ya kichina China hv tatzo lake n kama hvo kwny picha ila sahv imezima display haionyesh kitu ila feni imaunguruma sana tu naomben msaada tatzo lnaezakua nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza natanguliza shukran pili natumain mu wazima wa afya tele.
Naomben list ya vitabu vizur vya kusoma tafadhar nkipata na PDF zake nitashukuru zaid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza natanguliza samahan kwa usumbufu na polen na mihangaiko ya week nzima
Naomba kufikisha ombi langu kama kijana wenu.
Sisi n vijana watatu tuliomaliza Chuo mwaka Jana kulingana na uhaba wa ajira tumeamua kufanya kuungana ili tujiajiri wenyewe na tumebase katika hvi vitu viwili kuanzisha...
Wapendwa, poleni na majukumu.
Kuna jambo naomba mnisaidie kuhusu biashara ya viatu vya mtumba, hususani akina mama.
Kuanzisha hiyo biashara ni vitu gani muhimu napaswa kuwa navyo?
Na je, kati ya Arusha na Mwanza ni wapi naweza kupata mzigo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani wadau naomba kuuliza kusoma course ya driving daraja C kwenye chuo Arusha ni muda gani na inachukua kama shilling ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani wadau naomba kuuliza hivi ili ukitaka kupata ajira kama dereva wa tours ni lazima uwe umekidhi vigezo vipi? Na je ni vyuo gani vinafundisha course zao au ni hivi hivi vya driving kama VETA?
Naombeni msaada wenu wadau mwenye kuelewa.
Mbarikiwe sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahan wadau naomba kuuliza hivi ili ukitaka kupata ajira kama dereva wa tours ni lazima uwe umekidhi vigezo vipi? Na je ni vyuo gani vinafundisha course zao au ni hivi hivi vya driving kama VETA?
Naomben msaada wenu wadau mwenye kuelewa.
Mmbarikiwe sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.