Ktk vita ukiona askari wa jeshi pinzani anakushauri kuwa ili mshinde vita mumtimuwe mwongoza vita wenu ujuwe anamwogopa kwa plan zake za ushindi kwahiyo anataka mwongoza vita boya
Haya kapate buku7, amwaangukiye Slaa kwa lipi? na unatata data za chama mtandaoni we lofa eti? huyu Slaa ni nani hasa? Unaacha kujadili mambo ya kambi yenu unajifanya kiherehere kwenye nyumba ya jirani. Kwa tarifa yako chadema ndiyo chama kilicho na wanachama wengi kuliko chama chochote tz kwa sasa.
sifa tu eti kuchukuwa kadi lumumba,wewe huna viongozi kwenye tawi lako unaloishi?kwenda lumumba sifa tu unataka makamera yakufotowe huna jipya.wauza sura wote mnaendaga huko
kuhama chama mleta mada ni haki yako,lakini unapotangaza ktk midia kama mitandao ya kijamii tunakushangaa,kwani ulipojiunga ulitangaza humu?nendeni mkaongeze nguvu ya kuhujumu harakati za upinzani wa kweli mwaka huu.
Leo mahakama ya mkoa Ruvuma imetoa hukumu ya kutokuwa na hatia kwa watuhumiwa wote 9 akiwemo alyekuwa katibu mkuu chadema, Cecil mwambe alokuwa M\kiti kanda kusini na viongozi wengine wa CHADEMA katika kesi ya maandamano na kula njama ya kufanya mkusanyiko usiyo halali, kuna kesi nyingine...
Hotel za watu wakubwa s\kalini au za mashosti zao,sawa na dokta kukuelekeza duka la dawa la kwenda kununuwa ili kumpa ulaji jamaa yake.suluhisho s\kali kupita kuhakiki kama gharama zimepanda kuliko kawaida kusaidia kusovu.au kuwaelekeza hotel nafuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.