Hapo mimi ndipo hasa palipo na hoja yangu. Ikiwa mataifa tajwa hapo juu leo sote tunakiri kwamba yana nguvu kiuchumi, basi hilo ndilo la kuigwa, na sio kuangalia ufanano wetu na watu wengine kwa kutumia lugha zao kisha sisi tukadidimia kiuchumi. Kwanza tuweke maarifa ya kweli katika vichwa vya...
Jibu ni rahisi sana, Wazanzibari hawataki muungano huu batili uliopo, na biashara ya Watanganyika ambao waliwaamini kwamba ni ndugu zao kumbe Watanganyika wanatumiwa na mataifa ya magharibi kuikalia Zanzibar kimabavu (muendelezo wa "divide and rule" ya Muingereza).
Wazanzibari wameshatanabahi...
Dah kweli jina limesadifu, wewe sawa na hilo jina unalotumia hapa huna tofauti hata chembe. Sasa unapotuambia "Fanzeni hima mjikomboe" ndio unathibitisha kwamba Watanganyika munaikalia Zanzibar kimabavu au sio? Maana mimi Kiswahili ni lugha yangu ya kuzaliwa, pengine mwenzangu wa kutoka Mrima...
Dah pole sana mkuu! Huo ndo uhalisia wa maisha yetu watanzania. Usichoke, keep praying as much as it can be done. Chengine, kwa sisi wengine wengine huwa tunaamini endapo sehemu moja maisha yamekushinda ni vyema uhame ukaombe Mungu mahala kwengine, so na mm nakushauri hivyo.
Pia, inaweza...
Hili ni kosa letu waislamu, tujutie na tumtake Mungu msamaha, kisha tuanze harakati rasmi kuelekea kwenye ushindi. Kosa letu kubwa tulisahau mafundisho ya Allah, alituambia kabla kama "msiwafanye makafiri ni rafiki zenu, kwani wao hawaridhiki mpaka wakutoeni ktk njia yenu ya haki" kosa ni pale...
Dah, mkuu mm hii sijaipenda kabisa. Mimi ni Mzanzibari nimeguswa na hili, labda naomba niulize kidogo, kwa kuanza kuwasakama wazanzibari na kuwachafulia jina ndio suluhisho la hilo tatizo? Na jee tunapandikiza mbegu gani ktk mioyo yetu na pengine hatma yetu huko mbele kama sote ni Watanzania wa...
Huu ndo ujinga unaonipelekea nikawa najikuta nawachukia Watanganyika. Jitu limetoka kunywa pombe huko, jitu lisilo na maadili, jitu ambalo tunalibeba ktk kila nyanja, jitu ambalo hata ukilifundisha nini halielewi labda njama za wizi, jitu ambalo tumelifungua macho na kulifunza ustaarabu, mpaka...
Mhhh!!!! Kwa style hii tutafika jamani huko kunakoitwa maendeleo? Bora tungejadili impact ya yeye kuja huku kwetu, ili angalau tuweze kuwa anticipation fulani good or bad maana hawa mabwana ukifanya nao deal yoyote inakupasa uwe makini 500%............ Duhhh, hapa kuna kazi kweli kweli. Haya...
Then jiulizen hapo Tanganyika mnakula vyakula vya aina ngapi ambavyo vimelimwa south africa? Simply apples...... vingapi vimelimwa asia? Then jiulizeni ni mara ngapi tanganyika imeshaingia ktk uhaba wa chakula na zanzibar mara ngapi? Nyie watu jiulizeni hzo ni very simple logics....... nikupeni...
Hebu nmoja tu ktk nyie aniambie ni lini Tanganyika iliwahi kupita ktk better living std km ambavyo zanzibar imewahi.....100% free education to all, free health, accomodation and other basic public utilities? Hamjawahi kuwa na kiti UN taifa gani nyie na muungano uvunjike leo tuone km mtapata kiti...
Huu ndio ujinga uliotopea ktk vichwa vya watanganyika. Yaani wanahukumu watu kwa asili zao, wadini tena wadini wajinga na wapumbavu, na siku zote huwa chuki zenu zipo kwa waarabu na ofcourse huwa si waarabu bali ni uislamu km alivyotamka wazi yule nabii wenu Nyerere laanatu-llah alaih. Sisi...
Minyoo naona unaropoka tu, na huyo Mtikila ndo kuzidi.... ..nlijua huyo jamaa ana akili, kumbe duhhh majanga!!!! Kwani nyie watanganyika hamjiulizi km wazanzibari ni mzigo kwa nini viongozi wenu ndio wanaotumia juhudi zao zote mpaka nguvu za kijeshi kuhakikisha vibaraka wao hapa zanzibar...
Angalau wewe umeongea cha maana, ila hao wengine wanaropoka na kuongea kishabiki..........ahsante kwa kuwa muelewa na kujadili mambo critically....!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.