Nauza Microsoft XBOX ONE Mpya, Haijawahi kutumika, Ipo na kila kitu ilichokuja nacho.
Bei ni Tsh 650,000/= Mazungumzo yapo.
Kwa maelezo zaidi ni PM au Nipigie
Kuondoa hiyo message nenda katika Installation folder la IDM rename "IDMGrHlp.exe" kwenda "IDMGrHlpOLD.exe" na "idmBroker.exe" kwenda "IDMGrHlp.exe" utakuwa umemaliza kazi.[/FONT][/SIZE]
Kuwa na SIM card slot haitoshi, hiyo itafanya kazi kama una card ya wireless mobile broadband. Kama hiyo card ipo then unatakiwa uweke drivers, kumbuka asilimia kubwa huwa hazina hiyo card.
Nyongeza katika Google Advanced Search
Hizi ni Baadhi Google Operators ambazo ni muhimu Kwa wale ambao Hawazifahamu
inurl
hii inakuwezesha kusearch sites ambayo ktk url kuna keyword unayotaka. mfano nataka kusearch site ambazo ktk url kuna neno tanzania unandika inurl:tanzania Mifano mingine...
adata5 Jaribu kuingia ktk Advanced Boot Options kwa kubonyeza F8 wakati window inaanza kuload then nenda Repair your Computer then System Restore Ikishindikana unaweza tumia cd yoyote ya window 7 huwa inakubali.
Ok nimekupata sasa tatizo lako litakuwa kati ya Haya hapa(Assumption: Unatumia Immersion Type water Heater)
1.Heater itakuwa inatumika mda mrefu na ku draw current kubwa kupita uwezo wa socket, na hivyo kusababisha heat ambayo inmelt hiyo socket
2.Socket haishikani vizuri na plug na hivyo...
Mkuu nilitaka nikushauri ila maelezo yameniacha njia panda sijaelewa ni kitu gani kati ya heater na socket kinachoyeyuka. Kama ni Heater ni sehemu gani inayeyuka?
Weka line nyingine then fungua dashboard kama utapata prompt hii "Enter unlock code" then download universal mastercode generator i run na enter IMEI ya hiyo modem ili kupata unlock code. Kama utapata prompt [COLOR=#000000][FONT=verdana]''Only the specified SIM/USIM card can be used'' nenda Hapa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.