wewe utakua umesoma elimu ya jioni ,hata kazi ya kusafisha vyoo hustahili kupewa upeo wako ni mdogo sana ,kichwa chako cha habari hakiendani kabisa na mada utafikiri mtoto wa shule ya vidudu
ok walioapply hii kazi kma mmewaona wajinga basi leo j3 na j4 wataitwa kwa interview na watajionea ni kampuni kubwa kwa kuanzia maisha ambayo itawasukuma kupata kazi nyengine badae
hii yahoo address ni ya kwangu mimi ambaye nimepewa kazi ya kuwatafuta hawa watu kampuni haikutaka kutangaza kwa vile wananiamini naweza kuwapatia good candidates ,mkishanitumia mimi cv zenu nitaziselect na hao ndo wataofanyiwa interview ,of cause that 250000 is the first figure but can be...
kaka believe me kuna watu wana masters zao wengi wameamua kuvolunteer ili wapate experience na hawalipwi hata senti tano ,wewe chukulia hii ni sehemu yako ya kuanzia kazi upate experience na kwa vile ni kampuni kubwa ni rahisi kuonekana na makampuni mengine yenye kulipa zaidi,believe me kampuni...
mwenye shida ya kazi hahoji sana ,cv ngapi unatuma na zinapotea bila ya kujua ,kama kuna mtu anainterest basi atume na atakayedharau huyo basi kazi anayo ,believe me this job is true and is from the biggest security company you know in tanzania.
of cause hatukupenda kuweka jina kwa sasa ila kampuni ipo Dar esalaam na mwenye interest atume application zake ,is international company dealing with security however the job is office job dealing with data entry and other tasks,is a good place to gain your experience.
Tunatafuta vijana wa kufanya kazi katika kitengo kimoja wapo cha kampuni yetu .
awe na degree ya ict au computer or advanced diploma but even diploma can send their applications. but salary is around 25o,000/ for succesful candidates. we need 3 guys who will be under probation period of 6...
acha uzushi kijana hata shortlisting bado hizo nafaci nazifatilia kwa karibu sana na wakishortlist tutataarifiana ,ongea kitu chenye uhakika usiwadanganye wadau
mkuu kumbuka katika hii mifuko si tuu hao watu wa protection ndo wanahitajika bali hao watu ni wachache mno wanahitajika na katika vitengo vichache ambavyo wanahitajika kazi zao pia ni rahisi na zinaingiliana na watu wenye fani nyenginezo,mfano shirika kama nssf lina directorate tofauti kama...
kuweni wapevu kisiasa maalim seif na pinda ni viongozi wakuu wa serikali wana haki ya kulindwa na kupigiwa vingora kama ilivyo taratibu zetu za nchi,mbunge hana prevelage hio hii inaonesha wazi kwamba huyu ni kibaraka wa ccm na huo mkutano uliandaliwa kwa hela za ccm kama ambavyo walikuwa...
Acheni kupandikiza mbegu ya udini na fanyeni research kwa myasemayo nyinyi kama wasomi msipayuke kwa kusikiliza maneno ya vijiwe kama nini wewe panda benjamin mkapa ukaangaalie idadi ya hao unaosema ni wengi then ndo ukoment ,kama huna sema tukupe data za tanzania nzima then ulinganishe kama...
mkuu umechelewa ila nafasi ni
BANK CLERKS(TEN POSITION)
QUALIFICATION.
An upper second degree/advanced diploma in banking/accounting/economics/business administration
five credit at olevel including english and math
submit your application by email not later than 3rd january 2012 at 4pm to...
ukweli ni kwamba chama cha cuf kwa upande wa zanzibar bado hakijadororo kabisa na kinazidi kuwa na nguvu kadri siku zinavyokwenda chini ya uongozi wa maalim seif na siku akiondoka huyu ndo siku chama kitakavyopata pigo sna,mara zote katika chaguzi zote za zbar maalim anashinda na tena kwa...
Ngojeni niwape ukweli huyu hamad rashid ni mbinafsi na tamaa sana,kwanza jimboni kwake hakupita katika kura za maoni alitokea mtu wa tatu lakini maalim seif akampigia kifua akapita kwa kujua umuhimu wake bungeni ,alipoingia bungeni akakosa nafasi ya kuwa kiongozi bungeni akaanza bifu kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.