Habari za muda wana jamvi,
Nimatumaini yangu kuwa kila mmoja yuko powa kabisa na mapumziko yake ya siku ya leo.
Nimeona nije huku jukwa la sheria mana ndio mahala sahihi juu ya swala langu. Shida yangu ni kutaka kufahamu muundo wa katiba ya NGO yoyote umekaje. Mfano katiba ya kikundi cha...
Habari za kutwa wana jamvi la elimu.
Husika na mada tajwa apo juu.
Leo nilikuwa niko na rafiki yangu yeye amepata Dvs two point 12 flat D na anatamani sana kusoma MD ila akajiamini kweli ana weza kusoma MD kwa mwaka huu. Ameomba KCMC UDOM pamoja na St Francise ila amekosa vyote. Amekaa...
Habari za kutwa wana JF.
Matumaini yangu wote mu wazima na mnaendelea vizuri kwa ujumla.
Kwa muda mrefu nilikuwa nafatilia juu ya uwekezaji katika soko la Hisa la Dar es salaam na mifuko (DSE) ya UTT ila bado sijaelewa mambo yanaendaje na nilitamani sana kuwekeza katika maeneo hayo nikaona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.