Blackberry ipo poa kama wewe sio mvivu wa complicated UI, ukiangalia feature nyingi za android wamecopy kutoka kwa hawa malegend wa smartphones. Kuanzia Whatsapp wamecopy kutoka kwa BBM, Messanger, n.k.
Tatizo kuu la Blackberry nyingi za kizamani zinatumia BIS (Blackberry Internet Services)...
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuwatangazia wateja wake walioungwa kwenye gridi ya taifa kote nchini kuwa majaribio ya Mtambo wa kufua umeme wa Kinyerezi 1 megawati 150 yanaendelea vizuri na sasa tupo kwenye hatua za mwisho za kuwasha mtambo huo.
Habari njema ni kwamba, gesi...
Habari wadau,
Hivi hi ishu ya umeme kukatika nchi nzima kwa wiki ni ya kweli wadau? Nasikia wanasema tunahamia rasmi kwenye gesi, hiyo ni kweli wadau? Kwa yeyote mwenye taarifa please!
Nashukuru kwa mawazo yenu wanajamvi, nilienda hospital pale Herbat Kairuki na dokta akanieleza nini kinanisumbua, tatizo lilikuwa kuna nerve za fahamu zinazoleta taarifa kwenye mguu zilibanwa maeneo ya nyonga kutokana na kukaa chini muda mrefu.
Nilipewa vidonge vya kumeza na alishauri nifanye...
Habarini wana jamvi, mimi ni kijana wa miaka 23 nina tatizo katika mguu wangu wa kushoto.Kuanzia kwenye goti kushuka chini kuna muda unapoteza hisia, wiki ya pili sasa tatzo hili linanisumbua.
Naombeni ushauri wenu.
mimi binafsi nina tatzo kama lake, tofauti yetu mimi huwa nikifanya zoezi ndio naweza kuoga kwa amani.
Limenisumbua sasa kwa muda wa miaka tisa na nimehangaika hospital tofauti bila mafanikio.
Chanzo cha tatizo hilo ni kuwa na ngozi kavu so kwa hiyo unapooga mwili unapoteza maji, wapo...
kujiajiri au kuajiriwa inategemea na juhudi zako binafsi, kama ukiwa mzuri na ukawa unafanya shughuli za ukweli zinazokubalika basi ni rahisi kujiajili au kuajiliwa.
Ni kweli hii kitu huwa inawakumba watu wengi ila ni ngumu kusema sababu inainvolve maeneo ya sirini.
Vitunguu swaumu na papai vinasaidia sana kutibu matatizo haya, pia juice ya ukwaju inasaidia kuondoa haya matatizo.
mimi nilishawahi pata tatzo kma lako kma mara mbili hivi, fanya hivi, create new account na utaziona shortcut zako zote kwa software ulizochagua zionekane kwa all users.
tafuta sonyericson experia toleo lolote zpo vizuri kwnye iternet,kuhusu speed inadepend bt mimi huwa napenda kutumia airtel,sio sababu ya unafuu tu ila hata upatikanaji wa 3G ni mkubwa katika mikoa mingi ukilinganisha na voda au tigo,also wana 3.75G.
habari wanajf,naomba mnisaidie jinsi ya kuset boot order kwenye samsung netbook n150 ili iboot kutoka kwenye USB,nimejaribu kuingia kwenye bios ila boot priority yake haina sehemu ya kuboot kutoka kwenye USB.Please naomba mnisaidie sababu nataka kuinstal new window.
ni hivi inaonekana hiyo mashine yako ni 64bits alafu wewe unaistall software za 32 bits,so nakushauri ujue mashine yako kama ni 64bits au 32bits then tukusaidie.
drivers za sauti zipo,spika kubwa,cd-room na baadhi ya port zipo kwenye plate ya chini ambayo ni ya kudock na ku undock,cd room inafanya kazi vizuri na hizo port nyingine pia,tatizo ni spika tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.