Habari,Mimi ni kijana ninayesomea diploma ya ugavi na ununuzi kutoka chuo cha uhasibu Tanzania(TIA). Ifikapo tarehe 1/8/2021 tunatakiwa kuanza kufanya field(masomo kwa vitendo).
Hivyo naomba msaada kwa yeyote anayeweza kunisaidia nipate sehemu ya kufanyia field.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.