Wanaotumia huduma zenu si watanzania peke yao
wapo wageni kutoka nchi mbalimbali wanatumia huduma zenu
sasa mnaposema kusajili lain ni mpaka kitambulisho cha utaifa peke yake
je hamtaki hawa wageni watumie huduma zenu
kwanini msiruhusu
lesen
hati za kusafiria zitumike pia
JavaScript is disabled. For a
better experience, please
enable JavaScript in your
browser before
proceeding.
Huu ujumbe naupata ninapo peruz jamiiforums je nawezaje ku enable javascript kwenye operamin yangu natumia Nokia asha 303
Wana jamiiforums kuna jambo la muhimu kwa watumiaji wa mtandao wa tigo nataka kushare nanyi
ukipigiwa simu na huduma kwa wateja wa tigo kuhusu huduma yoyote na wakakwambia bonyeza kitufe chochote kupata huduma hii usikate simu maana ukikata unakuwa umeshabonyeza kitufe kwa hiyo wanakuunga...
Kumsomesha mpenzi/girlfreand
usitegemee huyo unaye msomesha
atakuja kukulipa jema lolote
kama unamsomesha msomeshe tu ila usitegemee chochote na usitegemee utakuja kumuoa sahau
wanawake hawapendi watu wanao wajali sana wanapenda watu wanaowapeleka peleka hiyo ndio siri kubwa ya wanawake...
Siasa Umeweka Pembeni Sasa Unatekeleza Kauli Mbiu Ya Rais Wa Jamuhuri Ya Muungano Wa Tanzania Mheshimiwa Dr John Pombe Magufuli Ya HAPA KAZI TU Kwa Vitendo Kwa Kuchunga Ng'ombe Nimefarijika Sana Big Up
jamani naomba ushauli wenu eneo nililopo halina umeme kwa hiyo nataka kutengeneza umeme kwa kutumia betri la gari na inveta kwa matumizi ya kuchaji cim na redio na tv je inawezekana ushauli hata kama una njia nyingine unayo ijua pleas ushauli wako unahitajika
Nina elimu ndogo ya darasa la saba lakini nataka kujiendeleza kitu kinachonitatiza ni muda siku nzima nakuwa kazini. Sasa nataka niwe najisomea usiku ili nifanye qt sasa naomba ushauri ninunue vitabu gani au online books mtandao gani vipo ambavyo vitanisaidia na je inawezekana kama nikifaulu qt...
nimevumilia nimechoka hiv ray na kanumba hamuoni au kuiga mifano ya filamu za nje kwa sababu utakuta STORY kanumba SCRIPT kanumba DIRECTOR kanumba EXECUTIVE PRODUCER kanumba hivi katika hali ya kawaida hii kazi itakuwa na ubunifu gani kanumba na ray katika kuhakikisha hilo chukueni kazi zenu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.