Wataalamu wa biashara, miundombinu na wengineo naomba kufahamu. Je Nini kifanyike ili TTCL iwe kampuni ya kiushindani kama ilivyo Tigo, Voda na Halotel?
Maana sahivi wanajikongoja na muda si mrefu wataporomoka kama zamani.
1. Kuboresha na kusambaza minara kwa wingi.
Jitoeni kwenye ROAMING ya Tigo, jengeni minara yenu.
2. Kufungua matawi au ofisi zao.
Vuta picha pale Kibaha, ofisi ipo sehemu moja tu. Je huko vijijini itakuwaje?
3.Ondoa wazee, wekeni vijana.
Wazee wameshachoka wapo zama za Ujima(Communalism)...
Sharom
Waziri Ndalichako twende moja kwa moja kwenye mada husika. Hiki Chuo cha Univerisity of Dar es salaam Computing Center sio chuo kabisa.
Tafadhali kifutie usajili maana ufundishaji wao ni wa nadharia tu na si vitendo. Wiki 3 nyuma nilienda kuangalia miundombinu ili nimuapply mdogo wangu...
Katika uchaguzi wa mwaka huu mwezi October angalia mgombea mwenye sifa zifuatazo:
1. Ataliweka taifa kuwa la amani, akamate wote wasiojulikana walioua, poteza na kuumiza watanzania wenzetu
Wanaokamatwa kesi zao zisikilizwe na kumalizika ili haki ipatikane
2. Atakayeteua watu weledi wenye...
tafuta uzi uliletwa na jamaa nani sijui wa buza huko alilalamika alitoka buza mpaka posta makao makuu ya ttcl kwa ajili ya kununua vocha ya 500 na akaambiwa zipo za 1000
kuna Mangi alienda kununua voha za jumla akaambiwa subiria mpaka sijui nani aje ndio atie saini ili awepe hizo vocha.
MPAKa leo ukienda kwa Mangi haupati vocha za TTCL ila vocha zingine anazo
Shalom,
Niende moja kwa moja kwenye mada. Mh Rais tunaomba umtumbue boss wa TTCL haiwezekani tangu apewe uongozi mwaka 2016 mpaka leo kampuni ipo ovyo.
Kampuni haijiongezi na pia huyo boss sio mbunifu kabisa.
Yaani 52% wa watumiaji wa TTCL hawajui menyu ya kuangalia salio ipoje.
Kampuni haina...
Stop
Let’s go
Hi, baby say hi
Naomba tabasamu pale unaponipa hi
Hata kama uko ovyo, punguza nishai
Masela na mademu ndani ya nyumba say hi
Yoh
Hi, baby say hi
Naomba tabasamu pale unaponipa hi
Hata kama uko ovyo, punguza nishai
Masela na mademu ndani ya nyumba say hi
D-U-L-L-Y-S-Y-K-E-S (Dully...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.