Mkapa alileta maendeleo ya watu ndio msingi wa maendeleo, aliweka vipaumbele kuboresha maisha ya watu.
Maendeleo ya vitu uleta umasikini Mkubwa sana kwenye nchi hata kupelekea nchi kufilisika kabisa.
Maendeleo ya vitu uleta umasikini Mkubwa sana kwa watu, umasikini uleta chuki na mtawala aletae umasikini katu huwa apendwi only kwa wanufaika kina aongezewe mda.
Ila kiprotocal chadema wamechemsha leo, kawaida inatakiwa kuingia mapema kwenye shughuli kabla mkuu wa nchi ajaingia. Labda Kama kwa sababu ya uchovu wa Safari alipitiwa usingizi
Hapa ndipo UKristo unapodharaulika,haya makanisa ya kuchezeachezea wanayatoa wapi?
Nkurunziza alikuwa jumapili anaimba kwaya na kuhubiri akitoka hapo anakwenda kuuwa watu.Viongozi wa Kikristo ndio wamechangia uwepo wa udikteta Afrika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.