mkjj, again you stand out from the crowd! thanks for this man.. Unajua, hii kweli inaumiza vichwa sana, tena sana sana. Ila ninaamini in 'my heart of hearts' kuwa kila jambo lina mwisho. Tunaokereka na kuathirika ki-kweli na haya tunaweza kubaki wachache, lakini it won't be in vain! Tuendelee...
Hivi sinclair anadhani anamchezea nani? hayo maelezo meengi kuwa amefanyia mengi Tanzania ni crap.. labda ajibu what was his motivation for investment? and what did he get in return? And in his case, kwa kukaa miaka yote hiyo inamaanisha amekula mno sasa anakufuru! enough now mister!
SHAME ON YOU MKULLO! MUOGOPE MUNGU, AT LEAST DO YOUR HOMEWORK. Usiendelee kututia aibu wananzania. Ni kwa vile kuna utaratibu tofauti wa kuwajibisha viongozi, hasa wakiongea pumba- otherwise ujinga kama huu unadhihirisha ulivyo kiazi na hivyo unatakiwa uachie ngazi mara moja!
Guys, nimewasoma na inaelekea wote tunakubaliana kuwa lazima tuendelee kuwaibua na kuwabana kiuhakika hawa mafisadi. Sasa, leteni 'action points' basi- tumfanze nini huyu Rostam? Ninaimani action(s) ndo zitaendelea kututoa watanzania hapa tulipo from kuwa walalamikaji kuelekea kuwa watu...
Kwa kweli huhu Chenge ni kituko. Ni aibu sana kwa mtu mzima kama yeye ku behave hivi. What happens to human beings like these ambao wanakosa aibu kabisa katika jamii?Hawana nafsi zinazosuta watu wa kawaida. Shame on you Chenge. Go please.. go.
God forbid this Mwafrika wa Kike! Kamati kuchunguza kamati- no way. Naelewa kwa nini wafikiri hivyo, and deep in my heart i have a similar fear too. Ila kwa hatua aliyochukua Mheshimiwa Mwakyembe na kamati yake ya kuwa wazi kiasi hiki, ninaimani kubwa kuwa zile zama za kamati kuchunguza...
Sasa kama hii ndiyo hali, is there a solution. Kitila, na wengine any suggestions? At least this UK thing is a small and manageable situation- and to me if solutions can be sort for smaller structures, we can learn how to curb the bigger monsters like BOT..
Saharavoice, Kilitime you both have good points. Now lets take these great points further! Mie naona we need action- and that action should come from me, and you and everybody else who is asking the questions/issues you have both raised. Viongozi wetu hawana mawazo mapya- they have used all they...
kweli kabisa. lets take an active role in leading our country. Kwa trend iliyopo we need new blood katika uongozi and one of the best ways is for you and me to take interest and part in leadership. LETS DO IT GUYS!
nafikiri kwa speed hii, kitalelweka. Lets all continue to take interest in our country and rights. Tuhamasishane, kila mtu kwa nafasi yake ili hawa watu wasiendelee kusema au kuwaza kuwa '...watanzania kazi yao kupiga kelele kwa siku mbili halafu wanasahau..'! This time let it be the time for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.