Wema ni nani? Diamond ni nani na huyo jokate ni nani? Wamefanya nini kikubwa hadi muwajadili namna hiyo? Tafdhali nijulisheni ili nami niweze kuchangia!!!
Jamaa zetu wa karibu na kenya hawajaanza rabsha za kukaba watu ili wapate hela ya kwenda kwao kwa ajili ya sikukuu? tupe update kabla hatujaamua kuja huko kupanga!!!
Kwa kweli taifa stars mimi siipendi kabisa, jana kuna shabiki mmoja wakati wa mapumziko radio free afrika alicomment akiitakia ushindi chad kwani aliona ni jinsi gani timu inavyocheza kwa kubahatisha, fukuzeni huyo babu poulsen, hana faida kwa timu yetu, tunategemea nini tukijapambana ivory...
pale ohio wapo madernti kibao wa IFM, usiku utawakuta wanajifanya kuongea kiingereza ili uwaogope kumbe wapi, neno moja tu unashusha mzigo chini, aibu!!!!
Pia hapo maeneo ya Ohio wanafunzi kibao, wanajifanya wanazungumza kiingereza mwenzangu na mie utadhani ni matawi ya juu kumbe wapi, neno moja mzigo chali, aibu kwa taasisi hizo za elimu!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.