Nahitaji kufunguaa hii biashara. Kwa mtu aliyefanya au aliye na uzoefu na hii biashara jinsi ya uendeshaji wake na faida yakee tafadhaliii naomba ushaurii wa hili.
Nawasilisha. [emoji871]
Ninaombaa kufahamuu kuhusu mipapai isiyotoaa matundaa, ni hali gan inapelekeaa kuwa hvyoo?? Je kufungiaaa gunzii kwa mti kuna saidiaa kutokana na hali hiyoo?
Tafadhaliii mwenye kujua jambo hili.
Mkoa wa dar es salaam. Mlionijibu ovyoo mtakujaa na matatzo yenu tutashindwa kuwapa ushauriii!!! Muoshaa huoshwaa piaa !!!!! [emoji26][emoji26][emoji26]
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada sehemu nzuri ya kuwezaa kutoka out kupumzika mazingira yawe kma garden au hotel ya bei ya kawaidaa msaada tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
nisaidie nahaitaji kupimaa macho yananiumaa snaa na kuwa mekundu na ukakasi kma mchanga pia kichwa huuma kwa mbali, naombaa kufahamishwa hosp nzur yenye specialist wa macho ili aweze nisaidia.tafadhali.
Nahitaji, kutafuta mtaji wa kufunguaa saloon ya kiume ila sijajua gharama za saloon yenye standard.
Faida zake, makusanyo yake nayabana vipi kwasababu nataka kumewekaa mtu,pia ningependa kujua changamoto za biashara hiyo Ninaomba ushaurii wakuu tafadhalii!
Nahitaji chumba cha kupanga chenye uzio, mita ya peke yake, au isyozidi watu 2, maji ya kutosha na maeneo kijitonyama makumbusho, tegeta tank bovu, mwenge. Bei yangu elekezi mwisho 100000 @ mwezi. My no 0682620200.
Mkuu kma umeingiaa juz juz hikubali mkuu me natumia kisskass lakin ukimalizaa ku download movie kwenye torrent huwezi uka play hyo movie mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.