Mi nilivyo kuwaga shule ya msingi tulikuwa tunaambiwa eti na Mwalimu wa sayansi kila binadamu ana asilimia chache za ukichaa ndani yake, itakuwa we ndo asilimia zako hizo.
Mkuu Muamala Wa Airtel 2 Airtel kama umeshazuiliwa unasubiri masaa 6 ya kazi baada ya kutimia unarudishiwa hyo Fedha.
NB; masaa ya kazi yanaanza jumatatu mpaka ijumaa saa 2 asubuhi mpaka 10 jioni
Habari, nimekosea Kufanya malipo ya umeme kwahiyo nimenunua umeme kwa mita nyingine tofauti na mita yangu.
Namba ya mita niliyokosea; 24210039582
Namba ya mita sahihi; 24210059382
Gharama; 1,900
Namba ya simu iliyotumika kununua umeme; 0625 603326
Eneo;Mabibo
Mtaa; Gereji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.