I am not a qualified physician
And I dont want to give this
injection
I am not a qualified physician
And I dont want to give this
injection
Dorothy is begging for trouble
She insist I should give her this
needle
But, darling, one thing I want you
know
Donât blame me for where the needle go
I...
1. Never shake a man’s hand sitting down.
2. Don’t enter a pool by the stairs.
3. The man at the BBQ Grill is the closest thing to a king.
4. In a negotiation, never make the first offer.
5. Request the late check-out.
6. When entrusted with a secret, keep it.
7. Hold your heroes to a...
Habari zenu wakuu
Namleta kwenu msichana umri wake miaka 24 elimu yake kidato cha nne ana experience ya kazi kama hotelia.
Yupo tayari kufanya kazi yoyote ya halali isipokua barmaid namfaham ni mwaminifu na ana muonekano mzuri (anaweza kupambia biashara kama za uwakala mikahawa) Naomba kwa...
Mwishoni mwa mwezi wa July nilifikwa na jambo kubwa katika maisha yangu.
Ilikua ni kumpoteza mtu ambaye nilikuwa na kila sababu ya kuamka na kupambana ili aone matunda yangu siku moja. Mungu alimchukua mpendwa babangu na kuniacha nisijue thamani ya maisha kwa muda ule baada ya kukubali na kuona...
Habari wanajamvi
Kwa utafiti mdogo niliofanya watu wengi wana mazoea ya kuhusisha muonekano wa mtu na baadhi ya sifa ambazo hazihusiani mfano ujasiri roho ngumu muda mwingine na ukakamavu yani ukiwa na sura ya kazi ni nongwa.
Unaweza ukadhani ukiwa na muonekano mzuri umepona lakini ukiwa na...
Salaam sana wanajamvi,
Nimeona taarifa kupitia TvE Tanzania leo asubui alikua anahojiwa mshiriki mwenza katika kipindi cha ucheshi kilichobamba kitambo kidogo ze comedy mpaka orijino komedi Mpoki akisema kwamba Bw. Joseph shamba maarufu kama Vengu ambaye tuliaminishwa amepoteza maisha kwa...
Baada ya siku 21 za maombolezo maisha yameenda kasi sana, Mtu aliekuwa akipambwa katika kila idhaa na vituo vya habari sasa hali imegeuka Ripoti ya mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali na baadhi ya kauli za viongozi zimepigilia msumari hali hii.
Nafananisha uongozi wa Mh JPM na habari za shujaa...
Habarini wakuu,
Mimi ni kijana mdogo wa umri siku za karibuni nimekua nikisumbuliwa na kutoka jasho (sweating) kipindi napata kula.
Nakua natoka na jasho sehem ya mbele ya kichwa na uso yani forehead. Tatizo hili limekua linanikosesha raha hususan pale napoanza kusweat hata vile vipindi...
Wakuu naomba msaada wa unlocking codes za iz nokia nilinunua kwa ajili ya mawasiliano zaid nkaweka laini zangu baada ya muda nkahamisha kuweka kwenye simu kubwa kuanzia hapo nkiweka simcard tofaut na zile inakataa.
Msaada wakuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nliweke wazi hili wakuu wanawake Mungu amejaalia kuumbwa kwa mfano wa uzuri
Kama unataka kufaham maana halisi ya uzuri basi chkua mda wako kumtazama mwanamke
Lakini hakuna mwanaume mzur katika macho ya mwanaume mwenzake wala handsome miongoni mwa macho ya mwanaume mwenzake hivyo wakuu...
Ndio tufoleni hapa; kuna wanaume wenzetu hawana wanaponda ni uchafu.
Na kuna kidada wanazimia watu wenye ndevu zao. Mtazamo wako upi bila kujali jinsia yako?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ilitokea 2017 Iringa town pale mtaa mmoja kwa mkulu sijui mkulo (sifaham sana nlkua mgeni) nlikutana na binti mmoja mrembo mwenye figa matata alkua ana asili ya kikomoro iv au kihabeshi wale waarabu ambao sio weupe kupitiliza nlisemezana nae ikawa tumeelewana akanpa namba zake za cmu kufika...
Wakuu leo nilijichanganya nikaingia Intelligence wamenipa nondo za kuuacha mwili nimezidiwa na somo bora tuendelee na mada zetu za Lisa Ann na Mia khalifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu Mimi na tatizo moja ambalo linanikuta katika mahusiano.
Mara nyingi kama sio mara zote nimekuwa najikuta nimeangukia katika mapenzi na watu walionizidi umri. Sio masugar mama hapana ila difference inakuwepo 2 to 4 years na pia nkitafta rika langu inakuwa shida. Nifanyeje?
PS: Nina umri...
Habar wanaJf
Naomba tushee maujuzi kuhusiana na makabila na ufanisi wa tendo je ni kwel baadhi ya makabila yana sifa ya kua wafanisi katka nyanja ya 6×6 tuchangie kwa facts
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.