Napenda kuuliza ili nipate maoni yenu waungwana kuhusu hili:
Je ikitokea mwanamke/msichana amepata ujauzito kutokana na kuwa Mhanga Wa ubakaji na kwa bahati nzuri yule mbakaji akaswekwa ndani yani kutumikia kifungo chake, je sheria inasemaje kuhusu mambo yafuatayo:
1. Matunzo ya huo ujauzito...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.