Anatafuta “government bailout”. Serikali itampatia pesa ya bure. Bashe atachukua % yake na yeye atapata mtaji wa bure kufanya mambo mengine. Akili mtu wangu
Katika mkutano wake huko Arusha kabla ya maandamano. Mh. Godbless Lema ameongea kitu kimenigusa sana.
Yaani unakuta viongozi wanatoka Dar na msafara wao wanaelekea mkoani kuzindua zahanati iliyogharimu Milioni Tshs. 176 na pesa za zahanati ni za msaada kutoka mashirika ya kigeni!
"We have been caught in a shootout at Kilimanjaro International Airpot. We have no idea what it is all about. It was quite a firefight. Stopped now but staff are nowhere to be seen."
Yaani na hili joto lote la Dar, Tanesco mnaamua kukata umeme. Jana mmekata umeme usiku mkarudisha saa sita usiku. Watoto wanapata joto mpaka wanaumwa. Wengi sasa wanavipele kwenye miili yao.
Huku tunakoelekea sasa mtaua watu. Biashara za watu wanaohitaji umeme mshawatia hasara. Sasa mnaelekea...
Aisee kila ukizunguka nchini kote Tanzania. Vijana wana hali mbaya. Vijana wamesoma, ajira hakuna. Na sasa inasikitisha sana vijana wameingia kwenye shughuli za siasa. Wanatumika sana na wanasiasa kama “influencers” kujipatia umaarufu kwa pesa ndogo tu.
Kwanini serikali isiweke mikakati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.