Matumizi ya mbolea hayafanani.
Matumizi ya samadi si sawa na mbolea za viwandani.
Nimeambiwa mbolea ya popo ni kali kuliko za wanyama wengine.
Inaelezwa kuwa ina naitrojeni nyingi.
Hata hivyo, hata mbolea za viwandani zinatofautiana kati ya moja na nyingine.
SA si sawa na Urea.
NPK/TSP si sawa...
Naomba ushauri/maelekezo ya namna ya kutumia mbolea inayotokana na kinyesi cha popo kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga kama nyanya, mshumaa, pili pili aina zote, bilinganya nk.
Hakika.
Wapunguze ukubwa wa mitaa/vitongoji, vijiji na kata.
Hivi ndivyo vyenye uhusiano wa moja kwa moja na wananchi.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Tuweke mikakati ya kuwajaza maarifa vijana wetu kufaidi mali na raslimali hizi badala ya kuwa na tabia ya mbwa kulalia nyasi nzuri.
Israel, nchi sawa na mkoa wa Mtwara inatamba duniani si kwa raslimali bali kwa akili zao za kukabiliana na changamoto.
Nakumbuka kuna watu walipendekeza kuwa Burundi isiingizwe Afrika y as Mashariki.
Walitoa hoja zao kuntu.
Kilichofuata kinafahamika.
Hoja hapa iwe manufaa ya kufanya na kutofanya hivyo.
Hoja kuntu.
Mara wengine wanashabikia uvaaji wa kimaasai wakidai ni utamaduni wetu.
Wakiona wale akina Makhirikhiri wanasema wanatuwakilisha Waafrika.
Saida akicheza mchenkure jukwaani wanapandwa mzuka wakidai ni uafrika.
Akivaa hivyo mtaani anaambiwa ni umagharibi.
Utmaduni wetu ni upi sisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.