Wakuu mko poa lakini,
Turuke moja kwa moja kwenye mada
Ebanaee huyu manzi wa kuitwa Angel nimefahamiana nae miezi 5 kabla, kama zari tulianza kuwa kama marafiki tu wa kawaida.
Taratibu tukaanza kuzoeana na story za hapa na pale nikajikuta nmeanza kumwelewa na nafikiri alilitambua hilo...
wakuu kwema
msaada kwenye tuta,nina vibarua kama 100 nimepewa jukumu la kuwalipa kila siku baada ya kazi kuisha waliorodhesha namba zao kwahyo kila ikifika saa 10 kila mmoja anatumiwa pesa yake (ni makubaliano waliyowekeana)
sasa imefika hatua nachoka naomba kwa wenye uelewa nawezaje kuwatumia...
habarini ndugu zangu
sina tatzo la bawasiri wala sina tatzo la kukosa choo ,ni hali imenitokea hivi karibuni
ipo hivi
nilisafiri kwenda burundi siku 3 kabla ya Christmas.
Ni mara yangu ya kwanza kwenda huko,chakula cha kule kiufupi kilinishinda ikawa ni mwendo wa nyamachoma tu na...
Wakuu mko poa lakini.
Niwape story kdgo.
Kuna demu nimefahamiana nae miez 4 nyuma,tulikutana sehemu moja hivi ikiwa ni katika harakati za kutafuta maisha na mambo kadha wa kadha ili maisha yaende poa,
Kama zali kumbe manz tunakaa mtaa mmoja na hakulitambua hilo pia,kadri siku zilivyozid...
Wakuu kwema,
Nina samsung a20s nimeitumia kama miez 3 sasa nikaona niireset ianze upya tena coz ilikuw na vitu vingi
Sasa kimbembe kimekuja baada ya kereset, haisomi laini inaandika emergency
Nikaipeleka kwa dogo mmoja akaiflash kwa kuiwekea firmware nyingne kwa kutumia odin lakn tatzo bado...
Wakuu kwema.
Kadri siku zinavyozidi kwenda wanawake weusi wanazidi kupungua (hawajiamini yan)
Wanahisi weupe ndio dili,wanawake wanaokubali kubaki na rangi zao halisi ni wa vijijini (wale wa town walioamua kubaki na rangi zao nawapa big up sana)
Ila mbona mkiwa na rangi zenu za asili ndo...
Msaada kwenye tuta.
Huu ni mwezi wa 8 tangu nifungue duka la bidhaa ndogo ndogo za nyumbani,mwezi huu nimeamua kupanua kidogo duka limekuwa la jumla na reja reja,
Duka lilianza vizuri sana ,kila nilichokuwa naleta hakikuchukua muda mrefu kilinununuliwa,bidhaa nyingi zilinunuliwa kwa wakati pia...
Wakuuu mko poaa
Nikiwa napiga piga story na wanaume wenzangu wanaibuka na kudai wao bao la kwanza bila ya zaidi ya dk 60 halitoki.
Kuna bro wangu na yeye anasemaga ivo, akichakata bao la kwanza ni kuanzia dk 40 na kuendelea.
Humu JF pia wengi nawaonaga wakikomenti et hata saa 1 inaweza...
Jumapili njema kwa watu wote.
Twende kwenye mada
Kwa nini mwanamke akimfumania mwanaume/mme wake kuna uwezekano wa kumsamehe na mapenzi yakaendelea japo yatapungua kiasi chake ila kwa nini mwanaume akimfumania mwanamke/mke wake inakuwa ni hapo hapo kuachana .(na ni vigumu kurudiana)
Labda...
Kwema ndugu zangu,
Bodaboda wana tabia za ajabu sana sijui kwanini.
Unaweza ukawa unatembea unashangaa wanakupigia honi.
Au upo njiani unatembea unashangaa boda huyu hapa "oya braza wapi" sasa nabaki najiuliza ina maana mimi sijui napokwenda au?
Leo nimeshuka kwenye gari akaja boda na...
Wakuu kwema natumaini mko salama
Lengo la uzi wangu huu ni kutaka kuuliza na kufahamishwa nawezaje kuingiza pesa mtandaoni kupitia simu au laptop.
Nimekuwa nikisikia sana wadau wengi wakilizungumzia hili suala na wengne wakifanya kama chanzo kikuu cha mapato.
Binafsi nafanya biashara ya...
Wakuu kwema.? Hope mko salama.
Leo nimetimiza mwaka tangu nimeoa, Mungu ametubariki mtoto mmoja na anaendelea vizuri
Nikiwa mwanaJF nimekutana na nyuzi nyingi zikiongelea suala la kuzama chumvini a.k.a kunyonya papuchi.
Sasa juzi nikaona nitest na mimi kwa mke wangu nilimpa taarifa kuwa leo...
Natumaini mko poa
Hii kitu naona imezid kushika Kasi hapa JF, katika miaka yangu yote 24 ya uzinifu nimelala na wanawake 51 (wazuri kwa wabaya)ila sijawah kuzidisha bao 4-5 kwa mwanamke mmoja.
Siongelei kwa usiku mmoja au kwa siku nzima ,naongelea ile unagegeda unamwaga unaunga Tena unapumzika...
Kwema ndugu zangu.
mwanamke anapoachana na mpenzi wake humchukua muda mrefu kumsahau mpenz wake .kwa hyo unapomtongoza akakukubalia usifikiri amekupenda kabsa .
Mnapoanzisha mahusiano yey akili inabak kule mwanzo,muda wote anajiuliza kwa Nini nimeachwa?,huyu Ana Nini Cha ziada tofauti na Yule...
Wakuu kwema?
Huwa najiuliza sana mfano imetokea umekuwa na mahusiano na mwanamke halafu baada ya wiki akaja kwako kulala halafu asubuhi unamuamsha unataka uingie mishe mishe unashangaa haamki, unamtikisa unaona hatikisiki, unammwagia maji haamki. Unahamaki kuona anatokwa povu mdomoni, unamgusa...
Wakuu salama?
Katika maisha yote ya upangaji hamna kitu kinanikera kama baadhi ya wapangaji kufungulia subwoofer kwa sauti kubwa.
Hii kiukwel huwa inanikata stimu, inafikia ile time ya kurud magethon huna hamu kwa sbb ukiingia tuu utafikir umetoka kanisan unaingia disco.
Kuna mwanamke mmoja...
wakuu polen kwa msiba
huyu binti nimefahamiana nae kama mwiez miwil nyuma na sasa tumekuw wapenzi
ana kazi (ni muajiriwa) mi mfanyabiashara kwa hyo huwa tunakutana mara nying weekend au nyakat za usiku baada ya mishemishe.
kwa kipind chote icho nmekuw nae sijawah kuona dalil yoyote ya...
wakuu natumaini mko salama
mimi n mmoja wa watu wanaopenda sana kuangalia movies hasa za kizungu ,napendelea sana sana action movies
kuna baadhi ya vitu huwa vinaniumiza kupata fumbuz juu ya ujuz wa wenzetu ukiachilia mbali suala la kutuzid technology.
nmeanza kupenda movies nikiwa mdogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.