hata kupanga..majina na wilaya bado..afu unaongelea kuachiwa..lets wait ndugu zangu..hadi tarehe 15..nadhan ndo wakati muafaka wa kuanza kuleta mijadala..tofauti na hapo..ni rumors tu..!
nimemaliza ..bachelor ya guidance and counselling..mwaka huu...nahitaji connection walau nipate hata N.G.O ya kufanya kazi ili nipate experience kwanza..jaman..mwene kufaham tujuzane..tanzania sis ndugu..
Direct cost inalpwa yote, then ada unalpa kulngana na mkopo wako, either nusu au yote,. mind you kwamba ,usipolpa direct cost na nusu ya ada, huez kusajiliwa na hata bum husaini, pia kuna udoso fee, nayo ni mhimu.
then kuhusu malpo sio lazma ulipe kabla ya tar. 30,
Kuhusu form msijali, na hilo ni suala dogo sana, cha msingi ushajua unaennda kusoma nin, na college gan, na fee structure washatoa, pia na opening date, hakuna tatzo, hyo form hata ikichelewa hlo lisikupe shida, karbu sana udom.
kubadili, course inawezekana, ila kama una vigezo. lakn kwa hyo 13, duh cjui. pengne aangalie qualfication then ,kama anaqualify, kabla ya registration afuate taratibu tu, watamkubali, ,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.