Habari zenu wakuu,
Naombeni ushauri nataka kununua PC mpya aina ya HP, Lakini sina utaalamu wowote juu ya PC ipi ni nzuri zaidi. Hivyo ningependa kujua yafuatayo:-
~PC ipi ya HP itanifaa kwa kusomea na kuchezea games
~Pia ipi ni nzuri kea kutunza charge
~Display iwe kuanzia 14inches
Pia naomba...
Habari zenu wadau,husika na kichwa cha uzi hapo juu naomba kujuzwa mbinu,ujanja na connection ambazo watu wanatumia hadi wanafanikiwa kubadili course hapo Udom.
Kwa ufupi mimi nimechaguliwa nursing udom lakini ndoto zangu zilikuwa ni kusoma MD. Nawaza nikifika chuo zikitokea chance za kujazia...
Habari wana jf,husika na kichwa cha Uzi nimesoma PCB na matokeo ni kama ifuatavyo.
Phy-C
Chem-C
Bios-C
Bam-D
Sasa baada ya kuomba round ya kwanza sijabahatika kupata chuo,Naombeni ushauri ni course zip nzuri za afya ambazo naweza kupata kwa round 2.
Nawasilisha.
Habari wana JF,
Naomba kujua nauli ya basi kutoka Mbeya hadi Kigoma ni shilingi ngapi? Pia, naomba kujua kama kuna basi la moja kwa moja Mbeya to Kigoma?
Nawasilisha.
Habari wana jf,
Husika na kichwa cha uzi naomba kujua kama RITA wameshaanza uhakiki wa vyeti kwa njia ya mtandao kwa vijana wanaojiandaa kuomba mkopo HESLB?
Pia naomba kujua kama bodi ya mikopo,HESLB kama tayari wameshatoa vigezo vitakavyotumika mwaka huu?
Nawasilishà.
#jEshi.
*Mzuri wa sura sio unakuwa na demu sura kama ngiri.
*Mweupe au rangi ya chocolate au maji ya kunde na sio mweusi.
*Shepu lazima awe na msambwanda medium size,Sio shape kama Sanchoka maana ile ni kero.
*Awe mrefu kiasi sivutiwi kabisa na short chassis.
*Miguu isiwe na gaga,vidole vya miguu...
Habari wana jamii intelligence,
Kutokana na kichwa cha uzi nini maoni yako kwamba askari mfano mwanajeshi,polisi akiua mtu pindi awapo katika majukumu yake ya kazi ni dhambi kwa Mungu?
Nimemuuliza kiongozi wangu wa dini naona hana hoja za msingi binafsi Mimi naona ni dhambi kwa sababu kila...
Habari wana MMU,
Bila kupoteza muda nimeona njia sahihi ya kumkomoa mke mchepukaji ni kumgeuza msukule ili urudishe hasara ya kugongewa,Pia itakusaidia kuongeza kipato chako mwisho was siku Unakamata chombo kingine.
Sio mtu unahudumia halafu yeye anagawa tu papuchi.
Habari zenu wana JF
Natumai mtakuwa wazima wa afya bila kupoteza muda niende kwenye mada husika.
Kuna jamaa yangu ni mwanafunzi wa form six, huyu bwana yeye kazi yake akiwa likizo ni kubadilisha tu mademu. Yani ni mzee wa kula tunda kimasihara. Huyu jamaa siku hizi takribani 20 kesha tembezea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.