Habari ya Leo wana jf?
Ninakuwa na tatizo la kwenda chooni Mara kwa Mara nikaamua kwenda hospitali wakanipima stool wakakuta nikona malabsorption inayosababishwa na microorganisms.
Walinipa dawa ya secnizole na zengine za minyoo but naona kama hazinisaidii kama kuna dawa nyengine naomba...
Natanguliza na salama kwa WaJF wenzangu.
Juzi nilijisikia kuwashwa mwili mzima na nikijikuna sifuri wala hapatokei vipele nilienda hospitali nikachomwa sindano. Baada ya wiki nikaanza kusikia kwa mwili maumivu ya mishipa ya damu na kichwa inauma upande wa nyuma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.