Nyakati hizi demu anakwambia eti "me sijiuzi ila kama hunipi hela nakupaje penzi sasa?[emoji3]
That means bila kumpa hela mapenzi hayapo kabisa alafu demu huyo huyo anakwambia hajiuzi. Sasa unajiuliza kuna tofauti gani na kununua malaya sehemu zingine
Na hawa ndiyo tunawategemea wawe mama wa...
Yani najiuliza hivi kweli kitu gundu kipo au ni nadharia tu.
Kuna ile mtu anaambiwa we una gundu yani mambo yake hayatoenda na hatokaa afanikiwe katika jambo lolote abadani,kama ni mafanikio atayasikia tu kwa wengine,kuna hicho kitu nasikia sana kuhusu Gundu,sasa niwaulize wana MMU maana hili...
Kwa ufupi nina mke tumejaariwa watoto wawili,nampenda sana mke wangu lakini kutokana na distance tuliyonayo (yupo mkoani) najikuta nashawishika kumcheat yani ni ile mwili unatamani,nafsi na moyo vinakataa .
Ajabu sasa kila mwanamke ninaepanga kutoka nae nikimlinganisha na wife naona kabisa ni...
Ndo maana mimi binafsi maswala ya kutambulishana kwa makabila huwa sipendi naona kama inakuwaga na ka utengano flani hivi na watu wengine....
Tuachane na hayo me nauliza tu hivi kabila letu sisi watu wa huku ilipotokeaga ajali ya ndege ,sehemu pekee ambayo jiwe aliwahi twambia kila tatizo ni la...
Nipo nawaza tu hapa hivi kama umeoa,ni lipi bora pale unapohitaji kuchangamsha mwili na mama watoto yuko mbali na wewe,kuwa na mchepuko au kuishi kununua mbususu (malaya).....?
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nilipoteza cheti cha form IV na kiutaratibu inabidi niende necta na nikipiga mahesabu ni pesa ndefu kidogo ambayo sijajipanga kwa sasa,naombeni ushauri ili niweze kupokelelea chuo nilichochaguliwa.
Katika admission letter inaelezwa copy haitakiwi japo kuna...
Wakuu napata utata kati ya kozi hizi mbili ngazi ya shahada naomba ufafanuzi...
1. Ni ipi ni rahisi kufanyiwa recategolization kwa in service?
2. Ni ipi kazi zake zina mshahara mkubwa ukilinganisha na nyingine?
Msaada wenu [emoji120][emoji120]
Wakubwa shikamooni wadogo zangu habari zenu...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, mimi ni mtumishi wa umma kada ya ualimu nimejiendeleza kielimu kwa sasa nahitaji kujiunga na masomo ngazi ya shahada ila natamani kusoma shahada ya mawasiliano ya umma (mass communication), jambo lililonileta...
Kuna jamaa angu tunaishi mtaa mmoja na tunashauriana vitu vingi kama vijana tuliooa tayari
Jamaa yeye kiukweli ni bonge la mchepukaji me simfikii amekuwa na hiyo tabia for a long time mke wake alikuja kugundua wakawa wanagombana sana ndani jamaa anatulia kidogo anaanza tena upya mwisho wake...
Wakuu mpaka nacheka yaani, nilipata ka mchepuko siku sio nyingi sasa katika harakati za kunipa tunda tukakubaliana leo.
Sasa bwana tukaenda zetu lodge maajabu mashine imegoma kabisa kusimama [emoji3][emoji3] daah hata sielewi mpaka najicheka yani najiuliza naumwa au maombi ya wife maana wife...
Wakuu nipo njia panda hapa, shemeji yenu ana tatizo moja sijui ni tatizo sijui ni kitu gani, yaani katika swala la tendo la ndoa hana muda kabisa yani
Tunaweza kulala mpaka asubuhi hajanigusa huku natamani aanze maana kwangu mimi Mgegedo unaninogea kama wote tuna mood sio mimi tu ndo niwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.