Heri ya mwaka mpya
Moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Tanzania kuna makampuni mengi yanayotoa huduma ya bima hasa bima za Afya. Sasa ukiacha NHIF na CHF naomba kufahamu bei ya vifurushi vya bima za afya kutoka kwenye makampuni mengine ya bima.
Natanguliza shukurani [emoji1488]
Habari za wakati huu wapendwa
Naomba msaada wa haraka kuhusu usajili wa jina la biashara BRELA
Nilifanya usajilin wa jina la biashara lakini kuna baadhi ya taarifa zilipelea hivyo kutakiwa kurekebishwa na nyingine kuongezwa lakini nilipoingia kwenye akaunti yangu napata ugumu wa kuendelea...
Habari ya wakati huu
Nimepatwa na tatizo la vipele kwenye uume sio kwenye kichwa ni kwenye ngozi ya uume haviumi wala haviwashi kimuonekano kama unavyoona kwenye picha hapo.
Mara ya mwisho kukutana na mwanamke bila kinga ni mwaka mmoja uliopita na mara zote nimekuwa nikitumia kinga au abstain...
Habari ya wakati huu
Nimepatwa na tatizo la vipele kwenye uume sio kwenye kichwa ni kwenye ngozi ya uume haviumi wala haviwashi kimuonekano kama unavyoona kwenye picha hapo.
Mara ya mwisho kukutana na mwanamke bila kinga ni mwaka mmoja uliopita na mara zote nimekuwa nikitumia kinga au abstain...
Habari za wakati huu
Moja kwa moja niende kwenye mada husika maana huu uzi nitaleta na utajumuisha matukio mbalimbali kwenye maisha yetu ya ndoa.
Moderators msiuchanganye wala kubadilisha title ya huu uzi acheni usimame wenyewe watu wapate kujifunza changamoto mbalimbali zilizopo kwenye ndoa...
Habari zenu ndugu zanguni,
Moja kwa moja niende kwenye mada tajwa hapo juu nielezee japo kwa uchache japo sio mbobevu sana wa haya mambo.
Tangu kuibuka hii ishu ya DPW kumekuwa na mvutano mkubwa baina ya pande 2 pande wanaopinga na pande wanaounga mkono.
Kwa upande wangu naona tatizo ni...
MIFUMO YA MASOKO YA MAZAO YA KILIMO
Masoko ya mazao na bidhaa za kilimo ni muhimu kwa ajili ya kuchochea uzalishaji na kuendeleza Sekta ya Kilimo. Aidha, ubora wa miundombinu wezeshi katika uzalishaji, usafirishaji, hifadhi na usindikaji wa mazao ya kilimo ni muhimu katika kuwezesha ukuaji wa...
1)Eneo shamba lilipo
Kabla hujaanza kulima zao lolote, hebu kwanza angalia mahala shamba lako liipo. Je linafaa kwa kilimo au kulima zao ambalo unataka kulilima. Katika eneo lako hebu zingatia yafuatayo:-
Aina ya udongo sio kila udongo una uwezo wa kusapoti kila aina ya zao lililopo shambani...
Habari ya wakati huu mabibi na mabwana
Kwanza niwape pole na moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Leo nimeamka siko sawa ikabidi niende kituo cha afya ili nipate hudumu kidogo. Nikaenda kituo cha afya cha kwanza binafsi nikauliza getini nikaambiwa nichukue namba 159 nikaona uongo...
Habari zenu mabibi na mabwana,
Katika pita pita zangu na ufuatiliaji nimenote baadhi ya vitu kutoka kwa madada poa.
1) Washirikina
Kama ambavyo mwenye duka anavyoenda kwa waganga ili apate mvuto wa wateja basi na wao pia huroga ili wapate mvuto kwa mwanaume. Kama unavyoenda mahala kununa kitu...
. If you have a breakdown, think first of all other road users and -
a) Get your vehicle off the road if possible;
b) Warn other traffic by using your hazard warning lights if your vehicle is causing
an obstruction.;
c) Put a retro reflective warning triangle on the straight road at least 50...
Habari zenu ndugu zangu,
Kuna kipindi nilikuwa Tanga kikazi, sasa kwa bahati mbaya nilichelewa sehemu ya kukutana na wenzangu basi wenzangu walinitania sana eti nimelowekewa nguo.nBinafsi sikujaji sana nikaona ni utani tu kama ijulikanavyo kwetu vijana.
Sasa kama miezi mitatu nyuma hapa...
Habari zenu watanzania wenzangu
Kwanza rejea uzi hapo chini
Nimeshangaa kuona watu wengi mnasapoti mambo ya kijinga kama hayo. Watu wa hivyo hawastahili kupata msaada wowote.
Hebu tuseme ukweli hapa angetokea shoga anasema anataka mke wa kumpa mimba muitikio wenu ungekuwaje najua yangekuwa...
Use of Lights...........
There are different types of lights in a vehicle, which are intended to be used in different situations.
As a driver, it is very important for you to know the functionof these lights and to use them in appropriate situations.
The following are the guidelines for...
Habari za wakati huu
Kusema tu ukweli mimi nitaoa single mother, mwanamke mwenye mtoto nikikosa bikira. Kwa sababu;
~ Mtamu sana.
~ Anajua kupenda.
~ Amekomaa kiakili.
~ Wapo makini sana kwenye maisha kwa maana hakuna kigeni kwake kwenye mapenzi.
~ 80% wengi huwa wanakuwa wasafi ndani...
Habari zenu mabibi na mabwana natumaini mpo wazima wa afya na maendelea poa naajukumu yenu
Leo ningependa kuja na haya kwako kijana ambaye unampango wa kuoa siku zijazo basi ni vyema ukazingatia haya.
Mwanaume Umetangulizwa Kuumbwa na Kupata Uhai Kabla ya Mwanamke ,,,Ili Upatikane Ubavu Wako...
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Leo katika pita pita zangu nimeona niwaletee hii japo kuwa wapo ambao wstapinga.
Si kila mtu anapata bahati ya kuoa au kuolewa na mtu ambae alimpenda Mara kadhaa unajikuta kua mtu ambae ulimpenda kwa dhati alikuumiza Yeye alikua...
Habari zenu,
Naamini kwa wale wakazi wa Dar wengi tunafahamu kwamba soko la tandika ni maarufu kwa uuzaji wa vitambaa mbalimbali kwa ajili ya kushonea nguo.
Pamekuwa ni suluhisho la mafundi wengi wa kushona nguo pindi wanapotaka vitambaa vya aina mbalimbali kwa ajili ya wateja wao.
Lakini cha...
1. Germany lost the most World Cup finals in football history (4 times)
2. Juventus lost the most UCL finals in football history (7 times)
3. Cristiano Ronaldo is the only player in history to win the Ballon d'or without winning a single trophy (2013)
4. Jorge Campos is a goalkeeper who...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.