Habar jf
Hawa GSM hawafai kudhamini timu yoyote hapa nchini, tumeshuundia miaka 3 walichokifanya ndani ya yanga ni ujaja jaja tu, Hatujawahi kuona yanga ikikaa miaka 3 ikiwa na mdhamini alafu ikakosa ubingwa
Matokeo mabovu ya timu zilizominiwa na GSM msimu huu ni mwendelezo wa jaja yao, mfano...
Habar jf,
Niwapongeze gsm kwa kufanikiwa kumnyofoa aliyekuwa ceo wa simba hongeleni sana. Lakini pia mmefanikiwa kuzima maswali yote ya uongo wenu kuhusu kuwadanya mashabiki kwamba mmewasajili wachezaji tengemeo wote kama nahoha Papy Shishimbi na Bernard Morrison.
Mmefanikiwa sana kucheza na...
Habari: uongozi wa yanga umeendelea kuhaha kutafuta mawasiliano ya ya winga wao Bernard Morrison,simu amezima na hapatikani alipo
Ikumbukwe kuwa Morrison aliingia yanga Kwa mkataba wa miez 3 na kabla ya kumaliza mkataba simba walianza kumnyemelea kimya kimya winga huyu baadae yanga walikuja...
Wakala wa James kotei ameikatalia club ya kaizar chief kumtoa kotei kwa mkopo kwenda yanga
Awali uongozi wa yanga kwa kushilikiana na mdhamini wao GSM walikubaliana na kaizer chiefs kumtoa nyota huyo kwa mkopo Yanga
Wakala wake aliweka ngumu na kuitaka kaizer chief ivunje mkataba kama...
Habar wana jf
Rais ameendelea na ziara ya siku 5 hapa kisiwani Zanzibar na leo amefungua hotel ya Verde azam luxury resort
Lakini kilichotuchanganya ni kuendesha halabe ya vijana
Lakin hatujajua hiyo halambee ilikuwa na malengo yap
Mwenye kujua malengo hayo atusaidie
Sent using Jamii Forums...
Habar, Siku chache tulisikia uongozi wa yanga ukimsimamisha meneja wao .Dismas ten kwa kile kilichodaiwa kuwavalisha wachezaj a bech la ufund jezi zisizotakiwa
Jana tena tukasikia wamemsimamisha kaz kwa mda usiojulika mpiga picha wao kwa kosa la kuingia kambini bila ruhusa.
Swali dogo tu hapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.