Hongera, ila ukipata basi boresha Yale mabati yetu 20 ya kustafia mnayo wapatia walimu angalau yawe ya msauz, maana huko naskia Ni kujilia tu hela, then mnakuja na hadithi tunapambana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Napendekeza wakuu wa mikoa na wilaya watosha kabisa,na wanachapa kazi sana bora wao wangekuwa wanapata pesa nyingi kuliko hawa wabunge, haiji kwenye akili yangu bunge linatumia pesa nyingi, pesa ambayo serikal ingefanyia maendeleo ya nchi.ki ukwel mm pia sioni hao wanaojiita wabunge Kama...
Huyu jamaa bila shaka atakuwa tu mnafiki, Sina imani Kama kweli Ni mwana ccm kwelikweli, ccm Haina watu weupe kichwani Kama huyu, wapigania chama huwa wananyumbulika kwa mijadala yao, tangu niingie humu cjawahi hata siku moja kupata kontent kutoka kwa huyu jamaa. Sjui huwa anacoment vitu gani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.