hi!i kindly request NGOSHWE to put in swahili the uses of Moriga oliefera so that most tanzanian can understand its usefulness.its a movolous lecture i benefited alot.
its true that this forums is of great thinkers...pull it up
Du...Hii ni isue tena...kama uko na conduct zake,mwambie wazi wazi usitumie misamiati.ukiona hakutaki basi ujue ana mwingine usipoteza muda trade your lave to someone who can buy it.I always biliv that we laern to love so learn to love the one learning to love.........there is no natural love my...
kati ya mambo yaliyopata kunigusa ni hadi ndani ya moyo wangu ni swala lako.Lakini najipa moyo kuwa liko njiani kutoweka kwa hatua uliyo anza kuchukua.jambo muhimu sana kujua ni kwamba inaakupasa USAMEHE na kusahau kabisa ulivyo tendwa na hao majamaa.kusamehe ni hatua pekee itakayoweza kukuokoa...
du..huwa inatokea bali kama waona inakuboa tumia style nyingine ambayo hamtaonana ana kwa ana.ukimkaataza huenda hivyo ndivyo anavyopata fleva yake.jifunze why she do so........................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.