Fatma K Hana akili hata kidogo! Maoni binafsi ya Martin Maranja Masese kaya address kama ya CDM! Huu ni uzwazwa wa Hali ya juu! Fatma K anachochea UDINI.
Aiseee! Hii hukumu itachochea wizi na Ufisadi kwenye Halmashauri! PM Majaliwa alitembelea Arusha alijionea Ufisadi wa kutisha akiongozwa na RC Mongela! Leo Majizi yameachiwa! Waziri Mchengerwa ana kazi nzito kupambana na Majizi kwenye wizara yake! Serikali inapeleka pesa nyingi kwenye Halmashauri!
Sinza Kuna baunsa mmoja anajiita KATOMPA! Anapora watu simu na wallet kibabe kwenye sehemu za starehe zinazokesha! Jeshi la polisi kituo Cha urafiki na mabatini waanze kumsaka huyu mhalifu!
Dr Pima na swahiba wake Ole Sabaya....watakula X mass na mwaka mpya pamoja ktk gereza la Kisongo. Hawa watu walikuwa washenzi na jeuri sana. Wanavuna walichopanda!
Safi sana waziri mkuu Majaliwa kwa kutumbua hiyo Mijizi! PM umekuwa msaada mkubwa kwa Rais Wetu Mpendwa SSH
Bosi wa Takukuru tunataka kuona ukikunjua Makucha yako, tangu umeteuliwa umekuwa mpole sana kupita maelezo.
Pia safi sana Mbunge Gambo kwa kuibua ufisadi jijini Arusha.
Lindi na mtwara nao wanaitaji barabara za lami hasa jimbo la waziri mkuu halina kabisa barabara za lami. Kuna vumbi la kufa mtu wenyewe wanaita "NGUNJA"
Naona mkurugenzi wa jiji Arusha anajipigia promo mwenyewe! Ripoti ya CAG ndio itakuwa kipimo chake cha utendaji kazi! RC Mongela alionyesha wasiwasi mkubwa gharama ya ujenzi wa vizimba vya wamachinga jijini Arusha (value for money).
VP awe jasusi mbobezi! Mwanadiplomasia mbobezi ndugu Benard Cammilius Membe! Naamini BCM atawaunganisha watanzania kuwa kitu kimoja! Kila la kheri Benard Membe! Kazi yako ya kwanza ni kusaidia tupate chanjo ya Uviko 19
Kwanza nipongeze Serikali ya Mpendwa rais wetu Dr JPM kwa kuwezesha ujenzi wa barabara nzuri sana ya SINZA - TANDALE - UZURI.
Tatizo ni Sub Contractor aliyejenga mitaro! Mitaro imejengwa in such away that mvua ikinyesha maji yanatiririkia kwenye baadhi ya nyumba za watu hasa kipande cha sinza E...
Uncle John tandika majizi na majangili hayo! Hakuna kucheka na nyani! Tamthilia ya Sultan imetufundisha kwamba ukipata chance ya kumtandika adui wako itumie effectively!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.