Chaguzi za ccm zimekua zikinishangaza sana pale wanapojikusanya kutoka pande zote za nchi katika kile wanachokiita kua ni mkutano mkuu nakufanya uchaguzi mkuu. uchaguzi huu umekua ukishabikiwa sana na wana ccm kuwa ni uchaguzi wakidemocrasia ambao katika siasa za ndani ya vyama ccm wanadai kua...
Since USA has become the world economic superpower am much proud and pleased wit it being the world largest economy due to its global role in various matters which may either be political, economic or social. I am not sure if CHINA wll bhave the sem lyk USA wen it replaces the giant USA...
Wana jamvi, tangu niingie humu jamvini nimejikuta as days went on huyu dada anahit sana in my mind mpaka nasujudu kuweka bayana jamvini ili yeye mwenyewe ajue kuwa kwa jinsi tu alivyo amekua someone so impressive to me and she z making me so flirt, she z notin else bt PRETTA, am not sure kwamba...
Baada ya ZITO KABWE kusimamia kwa nguvu hoja mbalimabli zilizoletwa na kamati za bunge na michango ya wabunge ambayo ilikua ikisikitika sana juu ya ufujaji wa fedha za uma kutokana na riport ya CAG ambayo imeonyesha maovu mengi tu katika matumiz ya pesa hizo za umma, ZITO KABWE (MB), Aliinuka na...
Serikali kuenzi miaka 50 ya uhuru mwaka huu ni wiz mtupu kwa sababu pesa zilizotumika na zinzozidi tumika juu ya kumbukumbu hizi ni kufulu, can imagine km wizara moja na idara zake kuazimisha miaka hamsin ya uhuru plus wizara zote tulizo nazo ni bilion ngapi mpaka kufika dec 9, zitakuwa...
sijajua kwa nini waheshmiwa wengi tu wakiingia kwenye system wanakua less critical au ziii kabisa wakati walipokua nje walikua watu wazuri tu, ningependa kuona watu hawa wa ndani ya system wanakuwa km mh sita bt its contrary to dis, mi naamin kuwa dawa ya moto ni moto kwa sababu ukiwa critical...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.