Habari wanajf nina kwa miezi saba nimekuwa nasumbuliwa na maumivu ya kibofu,njia ya mkojo,pumbu na uume nimezunguka sana hata kwa maurologist lakini sipata nafuu wala dawa nilizopewa hazijawahi kuniondolea maumivu.DVU,MRI nimefanya na pia CT scan ya mgongo mwanzoni niliambiwa nina urethra...
habari members natafuta mchumba wa kike umri usidi miaka 30 awe msomi wa chuo kikuu na mwajiliwa/anafanya kaz mwenye tabia za kupendeza na mkristo mim nafanya kazi serikalini 0779971855
muda uliokaa mtaani ni mchache sana na bado hujapigika angalau kaa miaka miwili ujifunze ubaili na heshima ya pesa ndio tukupe zamana kwanza umemaliza chuo gan?na una gpa ya ngapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.