Search results

  1. LITA2019

    Wanasheria naomba mwongozo katika hili jambo

    Mwaka 2015 kuna mzee aliniambia anauza viwanja 1.5m, alikua na eneo kubwa akasema anafuatilia taratibu za kukamilisha upimaji hivyo wanaotaka walipie kabisa ili majina yakitoka yatoke kwa majina yetu. Kwa vile alieletwa na rafiki yangu ninaemjua nami nikaenda kuangalia eneo, nikaridhika...
  2. LITA2019

    Je, Mtumishi wa Umma akijiuzulu kwa kufuata taratibu anaweza kurudi tena kwenye utumishi wa Umma baada ya kujiendeleza kielimu?

    Niliajiriwa mwaka 2013 kama mwalimu wa sekondari, mnamo 2015 nliacha kazi kwa kufuata taratibu na kwenda kufanya shahada ya pili katika eneo lingine ambapo kimsingi nisingeweza kupata ruhusa kwa mwajiri mana ni kada tofauti. Nilihitimu mwaka 2016 na mpaka sasa nafanya kazi katika taasis binafsi...
  3. LITA2019

    Licha ya kuijengea nyumba na kutoa matumizi ya kila mwezi kwa familia yangu bado wamejaa lawama

    Mimi ni mtoto wa mwisho kuzaliwa katika familia yetu, na ambaye kwa kiasi fulani najiweza kimaisha. Tangu awali nilishajiwekea malengo sitaoa hadi nihakikishe wazazi wangu wana sehem nzuri ya kuishi possibly kushinda pale ambapo mim nitaishi. Alhamndullilah, hilo limetimia na wanaishi sehemu...
  4. LITA2019

    WAKE ZETU TUFANYAJE TUELEWEKE

    Wanajamvi tuendelee kuchukua tahadhari na janga la corona, Niende kwenye mada straight, nimeoa mwaka wa pili sasa...before sijaoa nimepitia experiences nyingi za mahusiano, na kwa kiwango chake nimehitimu. Tangu nimeingia katika wedlock, sijatoka nje ya ndoa na sioni sababu..mke wangu yupo free...
  5. LITA2019

    Nguvu ya maono ya wanaume anapokutana na mke mtarajiwa

    Kwa kawaida wanawake wengi hufikirikia kutoka mbali au kuwa na mahusiano ya muda mrefu na mwanaume ni ticket ya kuzawadiwa ndoa. Hali hii ni tofauti kwa upande wa jinsia ya 'me', kwani walio wengi wanajua sana kung'amua nani anafaa kuwa mke na mama watoto wake. Linapofika suala la nani aolewe...
Back
Top Bottom